Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida ya inferiority complex mtu akikueleza kitu unaona anabragg. Mnaijeria akiniongelesha Kiingereza na kila mara akiongea sielewi ataniambia shida yangu ni Kiingereza, Mganda akiniongelesha Kiingereza na kila mara akiongea sielewi ataniambia shida yangu ni Kiingereza. Mmalawi na Mzambia vile vile. Sasa sisi Wakenya tumebebeshwa huu mzigo wa kuwa the only country ambayo tunaongea nanyi sana na kila mara tunakumbwa na hili tatizo lenu la kutoelewa Kiingereza kwa hivo tukiwaambia mtachukulia tunabrag. Hutowai sikia Mganda akisema tunabrag juu ya Kiingereza maanake yeye tukiongea Kiingereza tunaelewana vizuri. Shida ni hapo kwenu. 🤣 🤣
Nani aliyesema nyinyi mnajua kingereza? Kwanza jina tu hujui, eti "kiingereza" ndiyo nini hicho?

Ninyi ni wazembe sana, mmetawaliwa na waingereza na hamjui kingereza, ndiyo nchi pekee ambayo imetawaliwa na muingereza mwanzo mwisho na hamjui kingereza, bora sisi mjerumani aligoma tujue lugha yake, na mwingereza alikuja kipindi ambacho tunajitambua yani tuligoma kuongea lugha ya mkoloni na pia tukagoma kuongea lugha za kikabila kama nyie tukaongea kiswahili, nyie ni wazembe sana, hamjui kingereza wala kiswahili.
 
Hivi unaitaji kiingereza kubuni hili jengo? 🤣 🤣

1024x538_375897.jpg
Hakuna ushahidi wowote kwamba mkunya alibuni chochote huku Tanzania, lkn hata kama ingekuwa ni kweli shida iko wapi? Kubuni sio kujenga, haihitaji elimu yoyote kubuni jengo, sisi huku mafundi wengi wanabuni majengo makali na hawajaenda shule, kama kweli mkenya alibuni hilo jengo ni mambo ya 10% lkn wabunifu na mafundi ni wengi mno, no wonder wakenya wameona wachukue mafundi kutoka Tanzania kujenga nyumba zenu huko nowadays.
 
Hakuna ushahidi wowote kwamba mkunya alibuni chochote huku Tanzania, lkn hata kama ingekuwa ni kweli shida iko wapi? Kubuni sio kujenga, haihitaji elimu yoyote kubuni jengo, sisi huku mafundi wengi wanabuni majengo makali na hawajaenda shule, kama kweli mkenya alibuni hilo jengo ni mambo ya 10% lkn wabunifu na mafundi ni wengi mno, no wonder wakenya wameona wachukue mafundi kutoka Tanzania kujenga nyumba zenu huko nowadays.
Oneni huyu. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom