Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is what we are talking about Siyo issues za Non-NATO membership 🤣 🤣 🤣 🤣

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia moja ya video fupi kuhusu Teknolojia ya Kisasa wakati alipotembelea Kituo cha Kubadilishana Maarifa ya Kidunia na Maendeleo (GKED) kilichopo Seoul katika nchi ya Jamhuri ya Korea tarehe 01 Juni, 2024.

1717337470298.png
 
Haya sasa ni Muda wa Mbung'o wa Kenya kukimbia nimeshaingia sasa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rasmi na Rais wa Jamhuri ya Korea Mhe. Yoon Suk Yeol katika Ikulu ya Nchi hiyo iliyopo Seoul tarehe 02 Juni, 2024.

View attachment 3006701

View attachment 3006702
Daa bendera yetu nzur aisee sio kama ile yenye mende katikati.
 
Kundustan ni mavi ya mbwa.Kinachowauma hapa ni hizi pesa tumepata

View: https://www.instagram.com/p/C7t0KLvIrzX/?igsh=c2E4b2t1Yjd5MXh1

On top of that Tanzania imealikwa kufanya state visit,Ruto anaenda kukusanywa sawa na underdog wengine huko Seoul.

Na Kwa taarifa Yako tuu Samia atahutubia Mkutano huo wa Korea na Africa ila Ruto ataishia kuwa msikilizaji kama underdog wengine 😂😂

Jamaa wewe tuliza uone mambo yatakavyokuwa. Si tuko hapa hapa!?
Tutaanza na makaribisho, kisha deals.
20240602_160058.jpg
20240602_163922.jpg
 
Haya sasa ni Muda wa Mbung'o wa Kenya kukimbia nimeshaingia sasa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rasmi na Rais wa Jamhuri ya Korea Mhe. Yoon Suk Yeol katika Ikulu ya Nchi hiyo iliyopo Seoul tarehe 02 Juni, 2024.

View attachment 3006701

View attachment 3006702
Kuna mngese huko anadai mikataba yote aliyosaini mama ilikua ratify na kunyaland,hawa jamaa wana wivu sana,hivi hawajui mijoka yetu inatengenezwa huko korea
Kenya can do things on its own, but whatever Tanzania does, Kenya must approve of it. Umesikia wakisema eti Raisi wao yupo Korea!? Mikataba yote aliyotenda kusaini lazima zikuwa ratified na Kenya.
Wacha bwana wao aenda huko amalizie. We will compare the notes later.
View attachment 3006673
 
Back
Top Bottom