Rhaenyra Targaryen
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 888
- 1,055
Hivi watu ni wajinga wasione barabara ambayo ipo under renovation na isiyo? 🤣 🤣 🤣Mimi ndio nilipost hii picha, kukosa markings it's because barabara zote in Posta kwasasa zinapata renovation na kujengewa pavements na zingine kupatiwa na BRT lanes.. kila siku picha zinawekwa humu.. wewe ni kipofu.?
Hata hivo, kando na hii, hapo Dar CBD sijawai ona properly markerd street parking - na naongea kama mtu ambaye ashaatembelea Dar akaiona.