ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,427
- 85,267
Hata Mimi nakubaliana na wewe,yaani Makamba ameondoa kabisa Mpango wa kujenga ule Ukumbi wa KICC-Arusha na kuja na huu mradi wa upigaji?Mimi siungi hii mikono hii miradi! Kazi za foteign mission si kujiingiza kwenye biashara ya Real Estate! Badala ya kujenga haya majengo ambayo watashindwa kuyaendesha ni bora wangefufua mradi wa ukumbi wa mikutano Arusha maana AICC imeonyesha uwwzo wa ku-manage kumbi za mikutano.