Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unless uwe hujawah kwenda kwenye nchi zilizoendelea ukajua maana ya BRT ng'ombe wewe 🤣🤣🤣
Wacha ujinga. BRT ya nchi zilizoendelea hii. Hamna kujazana kama kondoo. Hii hapa BRT ya New York
feature-sbs-14th-st-crosstown.jpg
maxresdefault.jpg
 
Dada labda huijui Tanzania, haiwezi kuwa chafu kama kenya au nchi nyingine nyingi tu za kiafrika, ni kwasababu watanzania ni wastaarabu, tunaanzia kujifunza shuleni ustaarabu na ndiyo maana hata ukisafiri umbali mrefu huku Tanzania lazima kuwe na vyoo njiani kwa ajili ya abiria kujisaidia, hakuna mambo ya flying toilets huku.
Wewe ndio huijui nchi yako. Kama kusafi mbona msipost picha kama hizi za makaazi ya watu wa kawaida kila siku mnapost main artery roads zile zile pamoja na highways zile zile?

taka13.jpg
2011-12-30-08-23-41.jpg


Halafu mna pit latrines hadi mjini. Nairobi huwezi pata pit latrines mjini. Kwani unadhani hatuijui Dar?

Screenshot 2024-05-30 132700.png
 
Wewe ndio huijui nchi yako. Kama kusafi mbona msipost picha kama hizi za makaazi ya watu wa kawaida kila siku mnapost main artery roads zile zile pamoja na highways zile zile?

taka13.jpg
2011-12-30-08-23-41.jpg


Halafu mna pit latrines hadi mjini. Nairobi huwezi pata pit latrines mjini. Kwani unadhani hatuijui Dar?

View attachment 3003629
Duh picha za 2006 aloo, alafu licha ya kuwa ni picha za kitambo lkn bado haijafika level ya Nairobi ya 2024, oya Nairobi chafu wakuu 😬 😬 😬 😬 😬
 
Back
Top Bottom