Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha
b_the_credible-20240529-0002.jpg
b_the_credible-20240529-0001.jpg
b_the_credible-20240529-0003.jpg
 
Kuna taa ya check engine inawaka kwenye kichwa chako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

CFAO hata huku wapo, na hao hawana tofaut na AVA wote KAZI Yao moja

Ila hakuna assembly plant ya Toyota utapata east Africa hakuna na haitakuwepo ikiwa most of Ur cars ni probox na zote muna import from Japan πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Naona unaendelea kujiabisha. CFAO is a small company under Toyota Tsusho Corporation. 🀣 🀣 🀣 🀣 Huyu ni president wa Toyota Tsusho Corporation akiwa Kenya wa ufunguzi wa Toyota Hilux assembly line at AVA Mombasa. Yeye ndio president wa global operations zote za Toyota duniani. 😎 Hawezi tembelea nchi yenu kama hakuna biashara kubwa ya Toyota huko, ndio kwa maana hujawai kumuona bongoslum na hamutawai kumuona. 🀣🀣🀣

Image

Image



Image

Image


Ghana wakifungua assembly line ya Toyota na Suzuki lazima angetia sahihii.


Image




Image
 
Naona unaendelea kujiabisha. CFAO is a small company under Toyota Tsusho Corporation. 🀣 🀣 🀣 🀣 Huyu ni president wa Toyota Tsusho Corporation akiwa Kenya wa ufunguzi wa Toyota Hilux assembly line at AVA Mombasa. Yeye ndio president wa global operations zote za Toyota duniani. 😎 Hawezi tembelea nchi yenu kama hakuna biashara kubwa ya Toyota huko, ndio kwa maana hujawai kumuona bongoslum na hamutawai kumuona. 🀣🀣🀣

Image

Image



Image

Image


Ghana wakifungua assembly line ya Toyota na Suzuki lazima angetia sahihii.


Image




Image
Hakuna kampuni iko chini ya Toyota inaitwa CFAO unless uwe umechanganyikiwa hata AVA Sio kampuni ya Toyota na zote sio factory ni just assembly plant za watu binafsi Kwanza Hilo weka akilini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

CFAO pia ni multi brand car dealership usichanganye sukari na chumvi, chumvi ni nyeupe haimaanishi ni sukari nyeupe kondoo wewe, huwez kunifundisha chochote kwenye magari, etc

Hakuna assembly plant ya Toyota Kenya wala Tanzania na mungekua nayo kweli Khushi motors wasingekua Wana import gari kutoka Japan, kakojoe ulale
 
Hakuna kampuni iko chini ya Toyota inaitwa CFAO unless uwe umechanganyikiwa hata AVA Sio kampuni ya Toyota na zote sio factory ni just assembly plant za watu binafsi Kwanza Hilo weka akilini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

CFAO pia ni multi brand car dealership usichanganye sukari na chumvi, chumvi ni nyeupe haimaanishi ni sukari nyeupe kondoo wewe, huwez kunifundisha chochote kwenye magari, etc

Hakuna assembly plant ya Toyota Kenya wala Tanzania na mungekua nayo kweli Khushi motors wasingekua Wana import gari kutoka Japan, kakojoe ulale
Enyewe pumbavu hafundishiki. 🀣 🀣 🀣 Hakuna car enthusiast mwenye hajui Toyota acquired CFAO. Unareason kama pimbi ndio kwa maana unadhani magari zote za Toyota zinatengenezwa eneo moja kama peremende. 🀣🀣🀣 Leo nayo, umejiaibisha. 🀣🀣🀣 Eti kwanini tunaimport gari na tukona assembly. 🀣🀣🀣🀣

 
Kuhusu dikodiko la kibongo ungenyamaza tu wewe pimbi
Na hizo pilipili
Hapa 1000 TshsπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


View attachment 3002736
Na hapa 1500 Tshs na hapo ni kwa mama muuza πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 3002741
Omena na Ugali sosa ndio unaturingia hapaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom