Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukienda Mbeya huoni mji uko wapi😃
IMG_20240528_225854.jpg
 
Usinambie Toyota wenyewe wachukue gari kutoka AVA wakat wao wenyewe ndio manufacturer Yani usiwe mjinga mpaka ukawa kondoo Kias hicho😂😂😂😂😂

Toyota wamekabidhi gari kwa polisi wenu kutoka kampuni Yao ya Toyota Japan na sio AVA, AVA Sio kampuni ya Toyota weka akilini hio 😆😆😆😆😆😆😆
Inaonekana wewe ndio unajua kuliko Toyota Kenya.🤣🤣🤣🤣 Kumbe na hio miaka yako yote hujui magari hutengenezwa na assemblers ambao wamesource parts from different vehicle parts manufacturers. 🤣🤣🤣🤣 We pumabavu hudhani Toyota wana factory ya kutengeneza kila kitu mahali pamoja kama peremende. 🤣🤣🤣🤣🤣 Waaaaaa enyewe ushamba ni mbaya. 🤣🤣🤣🤣 Eti magari zinatoka kwa factory ya Toyota in Japan.
 
Usinambie Toyota wenyewe wachukue gari kutoka AVA wakat wao wenyewe ndio manufacturer Yani usiwe mjinga mpaka ukawa kondoo Kias hicho😂😂😂😂😂

Toyota wamekabidhi gari kwa polisi wenu kutoka kampuni Yao ya Toyota Japan na sio AVA, AVA Sio kampuni ya Toyota weka akilini hio 😆😆😆😆😆😆😆
Unajua kuliko Toyota Kenya sio. 🤣🤣🤣🤣


View: https://x.com/ToyotaCFAOKE/status/1185146999475183616
 
Back
Top Bottom