Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Mama Ngina ana pesa gani? Leta net worth yake.Swali muhimu ni hili mama ngina katoa wapi pesa?
Mama Ngina ana pesa gani? Leta net worth yake.Swali muhimu ni hili mama ngina katoa wapi pesa?
Hapo anakuja kusign loan na AFDB kwajili ya Sgr rail to Burundi and RDC mbele ya pua zenu.Continue striving huku Mama akija Nairobi mara tatu ndani ya mwezi kwa conference
She owns most lands in Kenya and runs everything from school, businesses, farms, industries, trade hospitals, media mpaka churches na kumiliki slaves.Mama Ngina ana pesa gani? Leta net worth yake.
Google analytics takes data from the whole country you idiot. It doesn't sample.What was the sample size kwenye hii survey?
Wanashare za Mama Ngina, Mwafrika, wanasahau kwao ni Muhindi ameshikilia uchumi.😂😂Kenya hakuna kampuni moja yenye imeshika kila sector ya uchumi Kama Azam. Jamaa ana dominate mibongolala vibaya Sana na inasikitisha..
Sasa unatakaje? 😂She owns most lands in Kenya and runs everything from school, businesses, farms, industries, trade hospitals, media mpaka churches na kumiliki slaves.
You only subscribe to data saying Kibera has 2.5 million people 😂😂I don't subscribe to stupid data za kuokoteza google.
Akili visoda wanafosi tufananeAkili zao matope🤣🤣🤣
You think that's what's bringing her? And what are the other African presidents coming to do in Nairobi? Are they also coming to sign AFDB loans?Hapo anakuja kusign loan na AFDB kwajili ya Sgr rail to Burundi and RDC mbele ya pua zenu.
Zitaje tulinganishe na Azam tuone nani wako vibaya. Ama nianze Mimi..She owns most lands in Kenya and runs everything from school, businesses, farms, industries, trade hospitals, media mpaka churches na kumiliki slaves.
Yani wakenya wanajua mpaka ratiba za Rais wa Tanzania 😂😂😂😂😂
View: https://x.com/C_NyaKundiH/status/1795206520558244207?t=RywGfXp2wEdI8DqIMyu2FA&s=19
Tuendelee na Pisi Kali za kitanzania sasa. Maana naona hakuna comeback kutoka kenya. Yaani wanatakiwa waogope kabisa.
NB: Kuwa na watu wenye sura nzuri ndani ya nchi ni dalili ya kuwa na maisha mazuri. Huwezi ukawa na maisha magumu halafu sura ikawa nzuri never ever.
CHuchu Hans From Tanzania
View attachment 3001816
View attachment 3001818
As long as Samia wenu atakuwa Nairobi kuhudhuria hiyo ushubwada wa mungiki Mimi Sina neno🤣🤣🤣