Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani hamna ndege ya raisi au mnasubiria msaada kutoka marekani
Plus he was in various stops.. Atlanta , New York and Washington DC… so do pundits expect Kenya Airways jet to be packed waiting and taking him from place to place for 5 days?… Then they will complain the Plane is just idle instead of doing its job..Haki watu hawatumii akili sometimes…
 
Wewe naee kichwa kizito kweli yani.. ni mtu wa nyanza nini?

Yani wajipigie PR kwa kauli kwamba wako na gharama kubwa kuliko chopa ya kukodi? Hilo walikanusha kwamba zakayo kadanganya keikiuu ni cheap zaid.. Ila ndio wame piga u turn tena hapo na kusingizia ni fake news
Kijana mdogo elewa vitu rahisi, Kama ingekua maneno ya Ruto ni uongo, KQ wangedadavua gharama zote moja baada ya nyingine kumpinga raisi. Hio statement ni fake news otherwise leta screenshot kutoka kwa pages zao Kama ipo.
 
Anaywteseka ni wewe unaeweka websites in reference to a report mentioning countries
Tunaongoza kuwa google na hakuna website hata 1 Kunyaland inajulikana Tanzania?
Leta kama hii 😂😂

Screenshot_20240527-233255.jpg
 
Tunaongoza kuwa google na hakuna website hata 1 Kunyaland inajulikana Tanzania?
Leta kama hii 😂😂

View attachment 3001237
Kwahivyo diamond na Tanzania ni kitu kimoja 😅😅😅😅😅
 
Tunaongoza kuwa google na hakuna website hata 1 Kunyaland inajulikana Tanzania?
Leta kama hii 😂😂

View attachment 3001237
Bongolala, the Google Trends information I shared was ranking the most searched COUNTRIES, not websites or individuals. I know you are dumb but how hard is it to understand this?
 
Who cares as long as clowns make their fullest day and some circus here and there 😂😂
Ninyi tumewazoea sababu elimu yenu ni takataka
Hiyo elimu yetu takataka itamlazimisha Rais wenu kufungisha virago kuja Nairobi kwa mara ya tatu ndani ya mwezi mmoja kuhudhuria kongamano la marais wa Africa kwenye conference jijini Nairobi 🤣🤣🤣
 
Hiyo elimu yetu takataka itamlazimisha Rais wenu kufungisha virago kuja Nairobi kwa mara ya tatu ndani ya mwezi mmoja kuhudhuria kongamano la marais wa Africa kwenye conference jijini Nairobi 🤣🤣🤣
Elimu yenu takataka ndio maana hujui tofauti ya international conventions na ushubwada unaowahusu mungiki peke yenu msio na elimu
 
Elimu yenu takataka ndio maana hujui tofauti ya international conventions na ushubwada unaowahusu mungiki peke yenu msio na elimu
Hiyo elimu yetu takataka ndio inatufanya tuhost hizo international conventions ambazo mnatamani sana kuwa wenyeji. Samia atawaletea salami kutoka Nairobi kwa mara ya tatu in less than a month 🤣🤣🤣
How about that?
 
Kwahivyo diamond na Tanzania ni kitu kimoja 😅😅😅😅😅
Kwa hiyo watanzania wao katika million zaidi ya 40 wanaotumia internet huwa wanaenda kwenye searching bars zao na kuandika Kunyaland tu to get results? 😂😂 Wewe kweli ni mnufaika number 1 wa elimu takataka mnayopewa hapo Kunyaland
 
Bongolala, the Google Trends information I shared was ranking the most searched COUNTRIES, not websites or individuals. I know you are dumb but how hard is it to understand this?

Who cares na hio map imekutesa wiki nzima unaongelea jambo moja, move on kijana, jifunze kukubali vitu ambavyo huwezi vibadilisha😅😅
Ujue nyie wapumbavu wawili mnachekesha sana na hii mada yenu.? 🤣🤣🤣 do you even know hii platform mnatumia kuongea huo upuuzi wenu, ni platform ya kitanzania.? Hii pekee inaleta pucha halisi vile mnaitafuta Tz hadi mmepatana na platform ya Bongo kuharisha huo upupu wenu.

Huko kenya kuna platform ipi enter ni popular and it attracts foreign engagements? 🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom