Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna clip aliongelea sababu ya kuwa karibu na China. Alisema, wamagharibi wameendelea sana ki teknolojia, hivyo kufuata mfumo wao wa uzalishaji hakuta kuwa na uhalisia. Miaka ya 60, China iliyokuwa na watu milioni 700 iliweza kujilisha kwa kutumia teknolojia ya plau linalokokotwa na ng'ombe. Hii ilikuwa na uhalisia zaidi kwetu kuliko kutaka kununua mashine za John Deere kulima.
Uko vyema sana upstairs. Nimeiona ile clip mara kadhaa labda kuna nyingine tofauti, anasema "Nikienda USA nashangazwa na hatua ya marndeleo, lakini China ni primitive. Just sehemu isitokuwa na roof lakini wanatengeneza glass, yap! Tunaweza kufanya haya Africa."
 
He got me confused too….. these guys eat , sleep and dream about Kenya 24-7… it’s a crazy obsession.. if Kenya was a dame , she can sue Bongo for stalking..🤣🤣🤣🤣🤣… The United Stalkers Republic of Tanzania 🤣
Like the way ur top chart is all Bongo musicians!
 
Continue striving huku Mama akija Nairobi mara tatu ndani ya mwezi kwa conference
Soma hapa tumbo likiwa na chochote
Screenshot_20240528-000057.jpg
 
Uko vyema sana upstairs. Nimeiona ile clip mara kadhaa labda kuna nyingine tofauti, anasema "Nikienda USA nashangazwa na hatua ya marndeleo, lakini China ni primitive. Just sehemu isitokuwa na roof lakini wanatengeneza glass, yap! Tunaweza kufanya haya Africa."
Nashukuru kwa kuweka kumbukumbu sahihi, hayo maneno ndiyo nukuu hasa aliyoisema.
 
Back
Top Bottom