Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilishamuambia alete link ya Google Trend inayoonesha kuwa tunawa-search sana lakini hadi muda huu anajifanya haoni. 😂😂😂
Hayana shughuli za maana zaidi ya fake news tu.
Yameshapekua kila mahali yamekosa kabisa yameona yajiliwaze na hiyo fake yakiamini wote tulinyimwa akili kama wao 😂😂😂
 
I Find it funny and crazy at the same time,Whenever someone compares the lives of Tanzanians to that of kenyans!
Let's stop deluding ourselves,there is no comparison here! You can not compare people who hardly afford three meals per day to people who don't count having three three meals per as a victory.
 
Na mibongolala ikitaka kwenda marekani lazima yalete makalio yao JKIA yabebwe na KQ. Kenya kwao nikama maji, usipoyaoga utayanywa, we mweyewe sio unaona watu Kama Amari wanajua MCAs (mjumbe) wa kenya kuniliko...
ATCL nasikia imebakisha safari za ndani za kusafirisha korosho. Mwendo wa bajaji 🤣🤣
 
ATCL nasikia imebakisha safari za ndani za kusafirisha korosho. Mwendo wa bajaji 🤣🤣
Hizo ruti za dala dala pia wamebanwa na kina precision Air na Ethiopia airlines, hakuna kuwapa amani mpaka kwao.😅
 
Kwani hamna ndege ya raisi au mnasubiria msaada kutoka marekani
Plus he was in various stops.. Atlanta , New York and Washington DC… so do pundits expect Kenya Airways jet to be packed waiting and taking him from place to place for 5 days?… Then they will complain the Plane is just idle instead of doing its job..Haki watu hawatumii akili sometimes…
 
Wewe naee kichwa kizito kweli yani.. ni mtu wa nyanza nini?

Yani wajipigie PR kwa kauli kwamba wako na gharama kubwa kuliko chopa ya kukodi? Hilo walikanusha kwamba zakayo kadanganya keikiuu ni cheap zaid.. Ila ndio wame piga u turn tena hapo na kusingizia ni fake news
Kijana mdogo elewa vitu rahisi, Kama ingekua maneno ya Ruto ni uongo, KQ wangedadavua gharama zote moja baada ya nyingine kumpinga raisi. Hio statement ni fake news otherwise leta screenshot kutoka kwa pages zao Kama ipo.
 
Anaywteseka ni wewe unaeweka websites in reference to a report mentioning countries
Tunaongoza kuwa google na hakuna website hata 1 Kunyaland inajulikana Tanzania?
Leta kama hii 😂😂

Screenshot_20240527-233255.jpg
 
Tunaongoza kuwa google na hakuna website hata 1 Kunyaland inajulikana Tanzania?
Leta kama hii 😂😂

View attachment 3001237
Kwahivyo diamond na Tanzania ni kitu kimoja 😅😅😅😅😅
 
Tunaongoza kuwa google na hakuna website hata 1 Kunyaland inajulikana Tanzania?
Leta kama hii 😂😂

View attachment 3001237
Bongolala, the Google Trends information I shared was ranking the most searched COUNTRIES, not websites or individuals. I know you are dumb but how hard is it to understand this?
 
Bongolala, the Google Trends information I shared was ranking the most searched COUNTRIES, not websites or individuals. I know you are dumb but how hard is it to understand this?
Link ukiwa umeificha matakoni? 🤔
 
Who cares as long as clowns make their fullest day and some circus here and there 😂😂
Ninyi tumewazoea sababu elimu yenu ni takataka
Hiyo elimu yetu takataka itamlazimisha Rais wenu kufungisha virago kuja Nairobi kwa mara ya tatu ndani ya mwezi mmoja kuhudhuria kongamano la marais wa Africa kwenye conference jijini Nairobi 🤣🤣🤣
 
Hiyo elimu yetu takataka itamlazimisha Rais wenu kufungisha virago kuja Nairobi kwa mara ya tatu ndani ya mwezi mmoja kuhudhuria kongamano la marais wa Africa kwenye conference jijini Nairobi 🤣🤣🤣
Elimu yenu takataka ndio maana hujui tofauti ya international conventions na ushubwada unaowahusu mungiki peke yenu msio na elimu
 
Back
Top Bottom