Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapi penye ilisainiwa? Tumekuambia ulete ushahidi ukashindwa😂😂
Mm najaribu kukumbusha ili usisahau au hii sio I'd yako 😂😂😂👇👇👇👇👇

Screenshots_2024-05-25-11-01-35.png
 
If that's the case, how comes no kentan cared to talk about Suluhu's visit to the US here? Cha ajabu ni kwamba kila kilaza mtanzania hapa huzungumxia hii ziaea ya Ruto like their lives depend on it!
Do you guys seriously mnaflash Ubongo, what the purpose of this thread na nani anaweka picha za ziara ya Ruto humu kuliko mwingine?

If no one talked mlifikaje kwa Account ya Maria Sarungi kuleta picha ya mapokezi mabovu.

Muwe mnasoma kichwa cha thread kabla hamujaanza kujipa umhimu na kuweka pumba.
 
Jana alikuwa Zanzibar kwenye fainali ambayo Tanzania ndo washindi kwa upande wa wanaume na tukapewa dola laki 3.
Aliongea huo unafiki kwa sababu anajua anakuja Tanzania.
Licha ya hvo tu lile tukio limemtia Sana doa Africa amekua kama haaminiki tena ni lazma aongee hvo 😂😂😂😂😂

Jambo Hilo limezungumzwa dunia nzima limemchafua Sana
 
Back
Top Bottom