Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 wueeeeeehhh

Image
Bi ara ti🤣🤣🤣
 
Mzee tunataka utuletee project achana na ndoto za kupewa ahadi. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇

Mega Projects ongoing and their values in Tanzania​

  1. Electric SGR - $10.04B
  2. East African Crude Oil Pipeline (EACOP) - $5B
  3. Julius Nyerere Hydropower - $3.5B
  4. Government City (Dodoma) $4.7B
  5. Tanzania LNG project $42B
  6. Sino Tan Kibaha Industrial Park $3.3B
Total is $68.54B
So far ndio kitu inawaumiza Sana, nashangaa kuona wanashangilia kitu ambacho hata hakina any implementation so far 😆😆😆😆😆😆😆😆😆
 
To build ikianza ujenzi let me know plz 😆😆

Wakenya sahii wanashangilia mpaka hewa mradi ambayo haupo wao wanashangilia na hii inaonesha mpaka SASA kama nchi hamuna hata mradi mmoja wa maana
Mbona hujauliza na ya Mombasa-Nairobi Expressway pia? Ama ulisahau?🤣🤣🤣
 
Mbona hujauliza na ya Mombasa-Nairobi Expressway pia? Ama ulisahau?🤣🤣🤣
Expressway inamilikiwa na Nani??😆😆😆
Au hujui ni mali ya mchina

Nairobi to Mombasa sio mradi wa Leo wala wajanja hata kipindi cha Uhuru wali sign same thing alaf baadae ikawaje ??

Nakwambia wakianza ujenzi wowote unitag niwe wakwanza 😂😂😂😂😂
 
Wapo Desperate sana 🤣 🤣 🤣 🤣. Sisi tunaongea Ukweli, wao wanaleta uzushi. Hiyo yote ni tosha kuwa wamechanganyikiwa.
Yani hawana Amani kabisa 😆😆😆😆😆

Kila wanapogusa wanazidi kuumia Tu

Ajabu Kenya nchi ambayo tuliambiwa iko level sawa na Singapore Leo inashangilia miradi ambayo hata haipo so far 😅😅😅😅😅
 
To build ikianza ujenzi let me know plz 😆😆

Wakenya sahii wanashangilia mpaka hewa mradi ambayo haupo wao wanashangilia na hii inaonesha mpaka SASA kama nchi hamuna hata mradi mmoja wa maana
Zikianza utatagiwa mkuu and am sure hata watanzania are sick of their old projects hizo hizo tu for 7 years now
 
Zikianza utatagiwa mkuu and am sure hata watanzania are sick of their old projects hizo hizo tu for 7 years now
Haya Uhuru Kenyatta alikuja na hio project na ikafa so weka akiba ya maneno musiwe wajinga kushangilia vitu haijulikani ukweli wake 😆😆😆😆😆😆😆

The same project ilikua signed kipindi cha Uhuru na hakuna kilichofanyika

Kwa SASA acheni kua wajinga na watumwa wafikra
 
Back
Top Bottom