Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

American style road😍NBO - MSA ndani ya 4hrs
IMG_20240523_165829.jpg
 
Memorandum of Agreement is not funding signing. Myemen utafundishwa hadi lini? Kusoma ndio hujui ama kuelewa ndio shida kwako?πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Tatizo lenu nyinyi munasahau Sana, nyinyi ndio mlitupigia Sana kelele kuhusu hio project naona mumerudi tena

 
Mr. Watchman, do you realize how primitive you sound.. the fact that you are proud of posting such a statement in the year 2024 proves what we have been saying all along about you.... you are uncivilized , illiterate and uninformed … so go grab your rungu and head to work..πŸ˜€πŸ˜€
Kama umekasirika jipige kidole alafu unuse, utapata faraja kubwa, sinaga masihara kwenye kazi zangu za kuwaumiza roho wakenya.
 
Memorandum of Agreement is not funding signing. Myemen utafundishwa hadi lini? Kusoma ndio hujui ama kuelewa ndio shida kwako?πŸ˜‚πŸ˜‚
Naona ruto kawafanya muwe kondoo kabisa SASA hvi munashangilia mpaka hewa 🀣🀣🀣

Screenshots_2024-05-23-17-13-50.png
 
Kweli Tanzania inawanyima usingizi mumekosa project Kias kwamba mpaka SASA munashangilia hewa na picha za ruto akiwa US 🀣🀣🀣🀣🀣

Simulikua munalia twitter nyinyi ohh 200m ksh private jet from Dubai ohh Nye Nye Nye


View: https://x.com/danojowa2027/status/1793340686634570143?t=ARN_5jvOIuHp0LvVoHkAaw&s=19
 
Air Tanzania still iko kwenye investment period kwetu wala hatushangai kabisa, bado tunaekeza ndio Kwanza tumefugua airline 2018 lakini ajabu ndio airline inayowanyima usingizi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna hii dreamliner inaingia mwisho wa mwezi huuπŸ‘‡πŸ‘‡ taarifa unayo lakini
View attachment 2997247
ATCL ilianzishwa mwaka gani wewe kilaza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom