buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,354
- 6,846
Hii imenisikitisha sana Africa bado sana kwa west ukijifanya kidume kuna sehemu nyingi za kushikwa kende.
Hakuna Option kabisa?
Maana zamani walikua hawapo makatili kwenye chakula ila baada ya Ukraine and Russia wala soko la ngano na vibano kwa meli ya chakula ilileta picha mbaya.
Bongo japo tunazalisha still tunahitaji balance maana mkulima hatulimii bure anataka kuexport soko la ndani bei ipo chini kwa mkulima hivyo upenyo wa uhaba wa nafaka ukitokea stock ya wakulima inafanyiwa export nchi inaingia kwa uhaba wa nafaka bei inapaa maisha yanakua magumu.
So siku wakigeukia internet kama kifinyo si itakua balaa.