President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,718
- 89,729
Hutaki tuchunguze?Astaghfirullah!!View attachment 2992442
Hutaki tuchunguze?Astaghfirullah!!View attachment 2992442
Wenzake kule X na Insta wanalipwa halafu yeye na kuamka zake saa kumi na mbili kutembeza post za anaupiga mwingi halipwi, itakuwa ni ujinga. 😂😂😂Chawa Pro Max. 🤣 🤣 🤣
Wanaficha nini, tufiche ili iweje na ushaambiwa July rasmi SGR inaanza, wewe unataka uambiwe kwa lugha gani uelewe hata kama unaumia umia lakini ukweli utabaki pale pale 👇👇👇👇👇
View: https://twitter.com/tzrailways/status/1791178998971543605?t=WHCPgOQpNpU2FwQeXY24fg&s=19
Another stadium statehouse!Statehouse pavillon in Nairobi Kenya
View attachment 2992138View attachment 2992140View attachment 2992141
Mkuu, wakenya wanawivu Sana na roho mbaya sanaKwamba hamfahamu kuwa engine za Rolls Royce Trent 1000 zinazo tumika kwenye ndege za Boeing 787 zina hitilafu ama ni muendelezo wa akili finyu!
Kondoo hazina miradi mipya ya kuonesha, kondoo hazina facts. 😂😂😂
View attachment 2992022View attachment 2992023View attachment 2992024View attachment 2992025
Ulitaka atetee rushwa na ukabila?, tumewapiga kwenye SGR Sasa mnatafuta sehemu ya kujiliwazaUnatumia maneno mingi kutetea uozo
Halafu bahati mbaya, huyu mwenzetu dishi limeyumba, hajui hata lengo la thread hii. Analeta kila kitu hata kitu ambacho hakihusiani na battle. 🤣 🤣 🤣Wenzake kule X na Insta wanalipwa halafu yeye na kuamka zake saa kumi na mbili kutembeza post za anaupiga mwingi halipwi, itakuwa ni ujinga. 😂😂😂
Mimi nilitegemea angerudi kutetea hoja zake kumbe wala.Mkuu, wakenya wanawivu Sana na roho mbaya sana
Cha6a Manifesto wanajaribu kuhakikisha wanataka kutengeneza empire yao Tanzania kama Kule Kenya Kikuyu.Kwanza ninashangaa Sana hawaTRC kujibu huu ujinga mara kwa mara, wao wafanye kazi tu, haya mambo huwa yanajijibu yenyewe, mtu Kama huyo Jacob, ninashangaa hata ule udiwani walimpaje, hovyo Sana
Magufuli aliwapa Sana "Political mileage" pale alipoanza kujibishana nao, kuwakataza kuandamana, kuwapiga na kuwateka hovyo, Kwasababu "they thrive well in chaos", hivi Sasa mama hawasemi Wala hawagusi, wameishiwa hawana Cha kuwashawishi watu wawasikilize wanebaki kufuatilia vitu vya ajabu ajabu.Cha6a Manifesto wanajaribu kuhakikisha wanataka kutengeneza empire yao Tanzania kama Kule Kenya Kikuyu.
Hujui watu wengi wa kutoka kule ndio wanakuwa negative. Hata hivyo Kule kimara more than 80% wapo wao ndio waliomchagua ili awatetee.
Dig down deep utawaona CHADEMA na lengo lake. Kama hujatokea kule wanakumaliza.
Huu ni ukabila kwa wachagga.Cha6a Manifesto wanajaribu kuhakikisha wanataka kutengeneza empire yao Tanzania kama Kule Kenya Kikuyu.
Hujui watu wengi wa kutoka kule ndio wanakuwa negative. Hata hivyo Kule kimara more than 80% wapo wao ndio waliomchagua ili awatetee.
Dig down deep utawaona CHADEMA na lengo lake. Kama hujatokea kule wanakumaliza.
Twitter ndo kuna ukweli...
View: https://twitter.com/rasoulHK/status/1791123391497310378?t=vldGBvbc2nXta5RxNBILGw&s=19
Twitter ndo kuna ukweli...
View: https://twitter.com/rasoulHK/status/1791123391497310378?t=vldGBvbc2nXta5RxNBILGw&s=19
Mmekula kichapo cha SGR mpaka mmeanza kuokoteza tweet za wapumbavu kama reference za kujitetea 🤣🤣🤣lol....they did this electric thing to look better than Kenyan SGR tz has serious self esteem issues....they did not do proper thinking about this electric thing.
Kitawaramba na tutakua hapa, hata kwenye airline pia walitaka waonekane wao ndo mabingwa, angalia sasa wanavyopata aibu.lol....they did this electric thing to look better than Kenyan SGR tz has serious self esteem issues....they did not do proper thinking about this electric thing.
Wacha kujipa moyo mzee 🤣🤣🤣 hizo ndoto unazoota zinatokea kwenye tweet za wapumbavu tu sio katika maisha halisi ground.. sisi sio nyinyi, msifosi tufanane.Kitawaramba na tutakua hapa, hata kwenye airline pia walitaka waonekane wao ndo mabingwa, angalia sasa wanavyopata aibu.
Mbona utukane watanzania wenzako kisa wanaongea ukweli. Mchongoko umefumaniwa unalala dah! Poleni sanaMmekula kichapo cha SGR mpaka mmeanza kuokoteza tweet za wapumbavu kama reference za kujitetea 🤣🤣🤣
Ubaya liengo lao la kujenga empire limeshindikana. Tunawanyosha kisawa sawa. Ukimsikiliza Upendo Peneza mahojiano ya Jana kwenye Power Breakfast ya Clouds FM. Utagundua kuna kitu wanafanya. Zaidi sana wanatetea Himaya yao. By the way kwa sasa wamezeeka na hakuna mtu wa kuwapatia Attention tena.Magufuli aliwapa Sana "Political mileage" pale alipoanza kujibishana nao, kuwakataza kuandamana, kuwapiga na kuwateka hovyo, Kwasababu "they thrive well in chaos", hivi Sasa mama hawasemi Wala hawagusi, wameishiwa hawana Cha kuwashawishi watu wawasikilize wanebaki kufuatilia vitu vya ajabu ajabu.
Hivi mwanasiasa gani ambaye mwezi wa August Kuna uchaguzi, yeye anafuatilia mienendo ya majaribio ya train badala ya kutangaza sera ya chama chake. Kwenye majaribio ya train inaweza kusimama popote na saa yoyote Ile, SI ndio maana ya majaribio.