Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mwenzako alisema kwamba ako na shares ndani ya TPA na PSPF ndio tukamkosoa kwa kumwambia kwamba hizo ni parastatals na hakuna mwanchi anaweza kumiliki hisa kule. Ni kitu gani ngumu ya kuelewa hapo?
Wapi hiyo hebu tuone, kumbe mtu mwenyewe hata huangalii unarukia tu, Kazi ipo.
 
guvu ya watu wa japan na usa pia hutumika kulipa deni
Hahaha!! wewe unajilinganisha na Japan na USA. Wenzako wana source nyingi za kulipia madeni yao. (Wanauza Silaha, Magari nk) Nyie mnategemea mkamuane ili muweze kulipa 60% ya nguvu zenu kwenye deni la nchi ya kenya.
 
Hahaha!! wewe unajilinganisha na Japan na USA. Wenzako wana source nyingi za kulipia madeni yao. (Wanauza Silaha, Magari nk) Nyie mnategemea mkamuane ili muweze kulipa 60% ya nguvu zenu kwenye deni la nchi ya kenya.
deni ya japan ni 250% na wanailipa ata sisi gdp yetu kubwa tunapewa loan kibao..LDC hawezi pewa loan kubwa
 
deni ya japan ni 250% na wanailipa ata sisi gdp yetu kubwa tunapewa loan kibao..LDC hawezi pewa loan kubwa
Sasa wenzenu wanatengeneza magari, vifaa vya electronics, silaha nk na kuuzia nchi zingine. Sasa hapo kwenu Kenya mnalipa deni kutoka wapi? Hapo mtakamuana mpaka mtoe jasho. Yaani 60% ya nguvu zenu ni kulipia madeni.
 
Nani kaibiwa

192c4b58ae2ebad8528f2526dc119237.jpg
 
Sasa wenzenu wanatengeneza magari, vifaa vya electronics, silaha nk na kuuzia nchi zingine. Sasa hapo kwenu Kenya mnalipa deni kutoka wapi? Hapo mtakamuana mpaka mtoe jasho. Yaani 60% ya nguvu zenu ni kulipia madeni.
but deni yao ni 250% ya gdp yao..iyo ni fact ata kama wanatengeneza hizo zote alafu deni ya kenya ni 54% sio 60
 
japan ni nchi ya tatu au ya nne dunian kua na uchumi mkubwa duniani, wewe unajifananisha na japan😀😀😀😀
wewe hutapata akili
hiyo si shida ..shida ni gdp ya ya matrillioni wana deni 250% ya hiyo..period..deni yao ni 2.5 times ya gdp yao...so wakilipa deni wakitumia gdp(vile mnafikiria) gdp ya ni negative
 

kolo una swali lingine kuhusu huu ujinga wako wa zip line in tz?.

72d3f9d7ecd9b272a15e60fc6c01f9d2.jpg
7e56d52c21dcd1ebcfbdec87c013187b.jpg
5443948cf37083aea734392c3f1bd8ae.jpg
wasee mnafaa kuona hii...nmecheka yangu yote zip line ya mbao jooh..hii kwani iliundwa na walaji wa albino...hio si zip line...yani umetafuta hizo siku zote in the end umeget hii........enyewe tz ldc
 
Back
Top Bottom