Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Point of correction: we talk, your government builds for you. Lazy bongolala just sitting there waiting for their government to build everything in their towns. Hebu leta jengo moja refu linalomilikiwa na mtanzania au a Tanzanian company. kila kitu ni ya serikali huko. Very lazy danganyikans with zero entrepreneurial skills
Kumbuka kwamba Watanzania ndio wanafanya kazi na kuilisha nchi nzima ya Kenya , nilisha weka picha apo ma lori ya Kenya yapo kila kona Tanzania kuwakusanyia chakula , instead ya kushinda apo Nairobi CBD na Kaki envelope nenda shika jembe lima ata sukuma wiki uokoe wakenya wenzako na njaa.
 
Yenu ni ndoto na itabaki kuwa ndoto. umeme mliyo nayo saa hii haifikii hata robo ya kiwachongo cha umeme unaokatikana kuendesha bullet trains. that one aside, you Don't even have the technology to build and run it. Stick to your lanes brothers, don't be overambitious. Bullet train si mkate unaenda dukani unanunua na kupewa change. kama ni hivyo, zingejaa Europe saa hii
wivu utakuuwa naona unatoka mpaka jasho kuskia train ya umeme tanzania😀😀😀😀😀😀
 
What is your understanding of the word 'developer' or 'investor'? nijibu hilo kwanza kabla hatujaendelea
.
Those two words are synonymous but not necessarily similar, one is the subset of another.
 
haha ata tanzania ni kubwa kwa land size but gdp is less than kenyas by 25 b usd na kenya ni 65% desert
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
img_0579-jpg.643674
 
What is your understanding of the word 'developer' or 'investor'? nijibu hilo kwanza kabla hatujaendelea
Wewe acha kujidhalilisha, huna unalojua maana ya private sector depending economy na state regulated economy, serikali ya Kenya imepoteza kabisa udhibiti wake katika uchumi wa nchi, uchumi wenu upo chini ya matajiri, kumbuka ili tajiri awekeze lazima awe na uhakika na kupata faida, kwa hiyo baadhi ya maeneo kama kule kaskazini mwa kenya, kutaendelea kuwa underdeveloped, huku Tanzania serikali inahakikisha uwekezaji unafika kila pembe ya nchi
 
Most buildings in Dar es Salaam or Tanzania belongs to Parastatals like Nssf, PPF, GEP, PSPF which most Tanzanians Contribute every month. So these Towers are built by Tanzanian.
Tanzania building their own Cities and Country.

Sasa we ngonjera za kumiliki share KCB, Mi mwenyewe nina shares KCB Kwa hiyo Mtanzania anawasaidia kujenga Tower zenu pia.
Since when did parastatals become owned by wananchi? parastatals are 100% owned by governments world over. KPA, which is the equivalent of TPA is 100% owned by the government of kenya thats why its not even lisyed in the nairobi stock exchange. ndo maana nimekupa example na KCB coz that's a private entity which is listed at the NSE
 
Wewe acha kujidhalilisha, huna unalojua maana ya private sector depending economy na state regulated economy, serikali ya Kenya imepoteza kabisa udhibiti wake katika uchumi wa nchi, uchumi wenu upo chini ya matajiri, kumbuka ili tajiri awekeze lazima awe na uhakika na kupata faida, kwa hiyo baadhi ya maeneo kama kule kaskazini mwa kenya, kutaendelea kuwa underdeveloped, huku Tanzania serikali inahakikisha uwekezaji unafika kila pembe ya nchi
I asked you a very simple question na badala yake unaniandikia kamusi ya kurasa tisini! Na kamusi yenyewe pia haijanipa jibu niliyokuwa nataka
 
I asked you a very simple question na badala yake unaniandikia kamusi ya kurasa tisini! Na kamusi yenyewe pia haijanipa jibu niliyokuwa nataka
Huwezi kuona jibu kama akili yako ni ndogo, jibu limo humo ndani
 
Ni Dar is slum iliyojaa kinyesi na mavi hapa kule,slum city,i pity you guyz,the proconsuls.
 
.
... and the government is owned by wananchi.
...and the government decides for you, you can't decide for the government. Got the difference? I can decide what to do with my shares in KCB, which is a public limited company (non-parastatal) but I can't decide for the government what to do with monies held in a parastal body. That's where the difference is
 
...and the government decides for you, you can't decide for the government. Got the difference? I can decide what to do with my shares in KCB, which is a public limited company (non-parastatal) but I can't decide for the government what to do with monies held in a parastal body. That's where the difference is
Hahahaha yaani ka share kako kadoooooooooooooooooogo ndio uwe na decision!!!! Hapa tunaongelea mambo ya kitoto sasa.
Government kwa mfumo wa ki democrasia inawekwa na watu kwa njia ya kupiga kura. Tunaweka watu wetu watakao tuwakilisha.
Mbona simple. Ndio maana yanaitwa mashirika ya umma tunaweza kuamua kuandamana na kuyaondoa sisi wananchi.
Hayo mashirika hayawezi kuingizwa kwenye Stock market kwa sababu hayafanyi biashara bali yanakusanya pesa kuwasaidia watu wake baadae.
 
Hahahaha yaani ka share kako kadoooooooooooooooooogo ndio uwe na decision!!!! Hapa tunaongelea mambo ya kitoto sasa.
Government kwa mfumo wa ki democrasia inawekwa na watu kwa njia ya kupiga kura. Tunaweka watu wetu watakao tuwakilisha.
Mbona simple. Ndio maana yanaitwa mashirika ya umma tunaweza kuamua kuandamana na kuyaondoa sisi wananchi.
Hayo mashirika hayawezi kuingizwa kwenye Stock market kwa sababu hayafanyi biashara bali yanakusanya pesa kuwasaidia watu wake baadae.
mwenzako alisema kwamba ako na shares ndani ya TPA na PSPF ndio tukamkosoa kwa kumwambia kwamba hizo ni parastatals na hakuna mwanchi anaweza kumiliki hisa kule. Ni kitu gani ngumu ya kuelewa hapo?
 
mwenzako alisema kwamba ako na shares ndani ya TPA na PSPF ndio tukamkosoa kwa kumwambia kwamba hizo ni parastatals na hakuna mwanchi anaweza kumiliki hisa kule. Ni kitu gani ngumu ya kuelewa hapo?
Kasema wapi? Hebu quote alichosema.
Kwanza kabisa parastatal
(of an organization or industry) having some political authority and serving the state indirectly.
Sasa sitaki uanze kutoa povu juu ya PSPF.
Kuhusu TPA ni jambo tofauti kabisa siyo parastatal bali ni Authority (Mamlaka) TPA is the government Agency.
Sasa ukielewa Tofauti ya Capitalism and Socialism ndipo utaanza kuelewa tofauti ya Kenya na Tanzania.


capitalism

an economic and political system in which a country's trade and industry are controlled by private owners for profit, rather than by the state.

socialism
a political and economic theory of social organization that advocates that the means of production, distribution, and exchange should be owned or regulated by the community as a whole.
 
...and the government decides for you, you can't decide for the government. Got the difference? I can decide what to do with my shares in KCB, which is a public limited company (non-parastatal) but I can't decide for the government what to do with monies held in a parastal body. That's where the difference is
Government is responsible for provision of services necessary for well being of its people, health, security, education, roads, water, electricity and others, all these need money, all buildings and now industries owned by our parastatal do make money which go to our government for those projects, that's why we are providing free education from up to Secondary schools, we have managed to raise $3.1B for sgr, our public Hospitals are better equiped equivalent to Karen and Nairobi Hospital, our security is good, and we have managed to pay for 6 new planes.
 
Mji wa Dar is slum ni mji tupwa tupwa,hakuna majumba marefu yalojengwa na private corporations, na mwataka eti kuipiku Nai,upumbavu huo!Towers mbili tu zimewatia kiwewe huku sisi list ya magorofa tulonayo ni kubwa kupindukia.Hakuna jengo refu dar litakalozinduliwa hivi karibuni manake hats take off ya space ni shida tupu,mji wa mahame,building a ghost city with pathetic empty towers,sisi tuko na multinationas chungu nzima kuchukua space yote ndani ya 70 floor pinnacle na montage etc etc,kwenu nyie mtafanya yepi izo empty spaces zichukuliwe???

Wewe kweli chiz kati ya dar na Nairobi mji upi una tower nyingi.?
 
Back
Top Bottom