Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hot air balloon si kitu ya kuonyesha mkenya. Hizo zimejaa Masai Mara na Amboseli na kwingineko
Hata naivasha imejAa......hawa wa2 washamba kweli
Siku zote mtu mpumbavu anadhani kila mtu ni mpumbavu kama yeye, Ninyi si ndiyo mliodanganywa na viongozi wenu kwamba Kenya haina umeme wa kutosha kuweza kujenga reli ya umeme, ghafla tu mliposikia Tanzania inajenga electrical railway mkabadilika kwamba na nyinyi mtaweka umeme baada ya miaka mitatu, kwani hamkulijua hilo kwamba baada ya miaka mitatu mtakuwa na umeme wa kutosha, kwanini msingeweka miundo mbinu ya umeme kabisa?

Kama kweli baada ya miaka mitatu mtakuwa na umeme wa kutosha, kwanini reli ya Nairobi kwenda Naivasha ambayo ujenzi wake utachukua miaka mitatu toka sasa wasijenge umeme kabisa wanaendelea kujenga ya Diesel?, ninyi kila kitu kwenu hakiwezikani hadi Tanzania ikifanya ndiyo mnaiga, mlishasema kwamba Tanzania ni LDC haiwezi kujenga electrical, mlipogundua imewezekana mnaamisha goli mnasema haiwezi bullet trains, mjinga mkubwa wewe, hii siyo Kenya, acha kulinganisha Tanzania na uchafu unaoitwa Kunya.
 
Hot air balloon si kitu ya kuonyesha mkenya. Hizo zimejaa Masai Mara na Amboseli na kwingineko
Serengeti ni 30,000 sqr km Belgium 30,528
Hivi unadhani Serengeti ni cha mtoto?
upload_2017-12-4_12-43-36.png


Usiifananishe Serengeti na mambo ya kijinga.
 
Siku zote mtu mpumbavu anadhani kila mtu ni mpumbavu kama yeye, Ninyi si ndiyo mliodanganywa na viongozi wenu kwamba Kenya haina umeme wa kutosha kuweza kujenga reli ya umeme, ghafla tu mliposikia Tanzania inajenga electrical railway mkabadilika kwamba na nyinyi mtaweka umeme baada ya miaka mitatu, kwani hamkulijua hilo kwamba baada ya miaka mitatu mtakuwa na umeme wa kutosha, kwanini msingeweka miundo mbinu ya umeme kabisa?

Kama kweli baada ya miaka mitatu mtakuwa na umeme wa kutosha, kwanini reli ya Nairobi kwenda Naivasha ambayo ujenzi wake utachukua miaka mitatu toka sasa wasijenge umeme kabisa wanaendelea kujenga ya Diesel?, ninyi kila kitu kwenu hakiwezikani hadi Tanzania ikifanya ndiyo mnaiga, mlishasema kwamba Tanzania ni LDC haiwezi kujenga electrical, mlipogundua imewezekana mnaamisha goli mnasema haiwezi bullet trains, mjinga mkubwa wewe, hii siyo Kenya, acha kulinganisha Tanzania na uchafu unaoitwa Kunya.
Yenu ni ndoto na itabaki kuwa ndoto. umeme mliyo nayo saa hii haifikii hata robo ya kiwachongo cha umeme unaokatikana kuendesha bullet trains. that one aside, you Don't even have the technology to build and run it. Stick to your lanes brothers, don't be overambitious. Bullet train si mkate unaenda dukani unanunua na kupewa change. kama ni hivyo, zingejaa Europe saa hii
 
I have shares in KCB bank and they just built a tower in Upper Hill. So pesa tangu imetumika pale kujenga lile jumba. Swali Ingine please?



Most buildings in Dar es Salaam or Tanzania belongs to Parastatals like Nssf, PPF, GEP, PSPF which most Tanzanians Contribute every month. So these Towers are built by Tanzanian.
Tanzania building their own Cities and Country.

Sasa we ngonjera za kumiliki share KCB, Mi mwenyewe nina shares KCB Kwa hiyo Mtanzania anawasaidia kujenga Tower zenu pia.
 
Most buildings in Dar es Salaam or Tanzania belongs to Parastatals like Nssf, PPF, GEP, PSPF which most Tanzanians Contribute every month. So these Towers are built by Tanzanian.
Tanzania building their own Cities and Country.

Sasa we ngonjera za kumiliki share KCB, Mi mwenyewe nina shares KCB Kwa hiyo Mtanzania anawasaidia kujenga Tower zenu pia.
parastatals are owned by the government period!!!!!!!!!!
 
Yenu ni ndoto na itabaki kuwa ndoto. umeme mliyo nayo saa hii haifikii hata robo ya kiwachongo cha umeme unaokatikana kuendesha bullet trains. that one aside, you Don't even have the technology to build and run it. Stick to your lanes brothers, don't be overambitious. Bullet train si mkate unaenda dukani unanunua na kupewa change. kama ni hivyo, zingejaa Europe saa hii
Hayo ni maneno ya mtu aliyekata tamaa baada ya kuona yeye ameshindwa anajaribu kuhakikisha na wengine wanashindwa ili asionekane mzembe. Jambo moja ufahamu ni kwamba uwezo wa wakenya wengi wa kufikiria mambo kwa undani ni mdogo sana, huwa miradi yenu mingi imeanzishwa bila utafiti wa kutosha, kinachotokea ni kwamba miradi inatumia pesa nyingi na economically inapoteza maana, sasa hivi nchi yenu ipo katika matatizo makubwa ya madeni.

Ushauri wangu ni kwamba, Kenya haiwezi hata kidogo kuendelea kushindana na Tanzania katika kuchagua, kupanga na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo, watanzania wapo vizuri sana upande huo, kwa hiyo badala ya kuendelea kupoteza muda na nguvu nyingi kupinga, ni bora mngekuja kujifinza ni kwanini tunayafanya haya yote na kama kuna wasiwasi muulize, kwasababu kasi ya Tanzania katika kupiga hatua za maendele, ni fundisho kubwa kwa watu na nchi zinazotaka kuendelea, ila kwa nchi zinazopenda sifa za kijinga, Tanzania itaendelea kuwa msumari wa moto kwao.
 
.
Acheni kujitia umajununi wakati hamna ndala miguuni, mwenzenu anasema Kenya inatumia 'developer' wakati sisi tunatumia 'government' sasa hamuoni kunatatizo la uelewa hapo?
What is your understanding of the word 'developer' or 'investor'? nijibu hilo kwanza kabla hatujaendelea
 
Kazi ya Kuunda Meli ya abiria yenye uwezo wa kubeba abiria 200 na tani 200 za mzigo imefikia asilimia 60. Kazi hiyo inafanywa na TPA kupitia kampuni ya kizalendo ya Songoro ikikamilika itasaidia kupunguza tatizo la usafiri kwa Wananchi wa eneo la ziwa Nyasa.

DQMZui6W4AAgkfr.jpg


 
Kazi ya Kuunda Meli ya abiria yenye uwezo wa kubeba abiria 200 na tani 200 za mzigo imefikia asilimia 60. Kazi hiyo inafanywa na TPA kupitia kampuni ya kizalendo ya Songoro itasaidia kwa kiwango kikubwa kupunguza matatizo ya usafiri yanayowakabili Wananchi wa eneo la ziwa Nyasa.
Made in Tanzania
DQMIc4xW0AAK9Nc.jpg


DQMIeCnXUAI-ZGs.jpg



DQMIfmeWAAEyNC_.jpg


DQMIgw1XcAAcMng.jpg
 
Back
Top Bottom