Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NDINDA Kuna picha moja ATCL aircraft inapita anga la Kariakoo kuna magorofa mengi sana hawa jamaa zetu walikimbia ile picha. Maana walitafuta hadi Mombasa hawakupata ule mtiti. Naomba mwenye ile picha atukumbushe.
Ghorofa zimeanza kutafutwa kwa tochi
 
Antibiotics za lazyland zimeisha nguvu
IMG_20240515_093719.jpg
 
Antibiotics za lazyland zimeisha nguvuView attachment 2990555
Kama umesoma medicine usugu wa dawa hutokea sio tu kwa antibiotics kama ampicloxacillin na amoxcillin,bali hata kwa antipain kama piroxicam,diclofenac pia usugu hutokea.
Hata kwa ARV-Anti retrovirus drugs usugu hutokea,ndio maana kuna kipindi wanakupima viral rods na kukubadilishia dawa.
Usugu wa dawa ni kitu common katika matibabu.
 
Kwa hivo madirisha yalijitoa kabla lianguke? Halafu hilo tractor aina ya excavator hapo ni gari la matembezi la mmoja wa wapangaji wa hiyo nyumba ama? No wonder watu wengi humu hata huwa hawakujibu.
Nikikwambia una reason kama mbuzi usikatae.
Kwahiyo hilo excavator kazi yake kubomoa tu!?
We huoni kule nyuma inatoa vifusi!?
Au ulitaka vifusi vitolewe kwa mikono na machepeo/spade!?
Hilo jengo linaonekana hata halikukamilika maana kote huko unaona kabisa hakuna alama hata ya kuwepo madirisha.

Wanaonijibu ni wengi hasa hasa Teargrass usilete vibweka saahii.
 
Hao uliowataja wanafanania na huyo!?
Embu fananisha mijadala wanaotoa hao uliowataja na huyu mwanamke kesha fananisha.
They're all twitter government critics from their respective countries. Nyinyi mnatumia wa kwetu kutuchekelea na sisi tunatumia wa kwenu kumchekelea japo wa kwetu ni wengi zaidi kisa tuna freedom of expression.
 
Nikikwambia una reason kama mbuzi usikatae.
Kwahiyo hilo excavator kazi yake kubomoa tu!?
We huoni kule nyuma inatoa vifusi!?
Au ulitaka vifusi vitolewe kwa mikono na machepeo/spade!?
Hilo jengo linaonekana hata halikukamilika maana kote huko unaona kabisa hakuna alama hata ya kuwepo madirisha.

Wanaonijibu ni wengi hasa hasa Teargrass usilete vibweka saahii.
Wewe kupingana nawe ni kuharibu wakati. Basi limeporomoka. Wacha nikuache jinsi NairobiWalker alivyokuacha ukipingana eti Yoruba ni Bantu.
 
Nikikwambia una reason kama mbuzi usikatae.
Kwahiyo hilo excavator kazi yake kubomoa tu!?
We huoni kule nyuma inatoa vifusi!?
Au ulitaka vifusi vitolewe kwa mikono na machepeo/spade!?
Hilo jengo linaonekana hata halikukamilika maana kote huko unaona kabisa hakuna alama hata ya kuwepo madirisha.

Wanaonijibu ni wengi hasa hasa Teargrass usilete vibweka saahii.
Wewe kupingana nawe ni kuharibu wakati. Basi limeporomoka. Wacha nikuache jinsi NairobiWalker alivyokuacha ukipingana eti Yoruba ni Bantu.
 
They're all twitter government critics from their respective countries. Nyinyi mnatumia wa kwetu kutuchekelea na sisi tunatumia wa kwenu kumchekelea japo wa kwetu ni wengi zaidi kisa tuna freedom of expression.
Nimekwambia fuatilia wanachokosoa wa kwenu na wakwetu.
Unafananisha mtu anayekosoa eti kupokelewa kwa rais na mtu anayekosoa kutokukamilika kwa miradi!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom