Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe Malaya Speed governor can be set anywhere. Hile ilikuwa at 100km/h, it has been changed to now 120km/h. Hii train imipewa freedom itakanyaga 200km/h, something that your trains can't do.

View attachment 2989794
Kijana ubishe usibishe.
Reli yenu haina ufanisi wa kuhimili hiyo speed ya 200km/hr.
Vivyo hivyo lokomotives zenu hazina huo uwezo wa kukimbia 200km/hr.
Ingekua inazo mngeshafanya hivyo.
Uwe unaachaga ubishani wa kisenge.
Sisi kwa majaribio tu tumetembea speed ya 170+km/hr tena free kabisa kwasababu reli yetu ina ufanisi wa kuhimili hiyo speed.
Embu jaribuni ninyi mfike hata 150km/hr.
Pia usisahau kuna joka EMU linapita speed ya 200km/hr.
Narudia tena,siku MKITOKA NAIROBI TO MOMBASA SAA 3 NIITE HAPA.
Otherwise sitaki kusikia stori zingine.
 
Kijana ubishe usibishe.
Reli yenu haina ufanisi wa kuhimili hiyo speed ya 200km/hr.
Vivyo hivyo lokomotives zenu hazina huo uwezo wa kukimbia 200km/hr.
Ingekua inazo mngeshafanya hivyo.
Uwe unaachaga ubishani wa kisenge.
Sisi kwa majaribio tu tumetembea speed ya 170+km/hr tena free kabisa kwasababu reli yetu ina ufanisi wa kuhimili hiyo speed.
Embu jaribuni ninyi mfike hata 150km/hr.
Pia usisahau kuna joka EMU linapita speed ya 200km/hr.
Narudia tena,siku MKITOKA NAIROBI TO MOMBASA SAA 3 NIITE HAPA.
Otherwise sitaki kusikia stori zingine.
Facts don't lie.

Kenyan trains are faster than Tanzanian trains.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Hii ya 200😃😃😃😃😃😃😃
View attachment 2989521View attachment 2989522



Alaf hii ya 330 😂😂😂😂😂😂
View attachment 2989523
Ifike mahali we draw the line sasa ni muda muafaks wa kuzipa majina hizi working horses zao.

Alexander the great alikuwa na farasi wake maarufu mwenye bichwa kama ngombe akamwita BUCEPHALUS.

Sasa kuanzia leo hizi locomotives zao tutaziita Bucephalus na ile nyingine ya abiria Bucephalus express sio madaraka tena sawa sawa?
 
Narudia tena.
Siku mkitoka Nairobi to Mombasa masaa matatu kama sisi katika majaribio tulivyotoka Dar to Dodoma masaa matatu njoo uniambie nihamie Kenya mimi na mkewangu.
Kenyan trains are faster than Tanzanian trains.
 
Naendelea kuimba wimbo ule ule.
Siku mkitoka Nai to Mombasa kwa masaa 3 uniambie.
Sawa kijana?
Endelea tu kuomba while we all know including you that Kenyan trains have high speed kuliko Tanzanian trains.
 
Ma lazy wamebaki kutoa meno hawajaona haya mambo.
images-1.jpeg
images.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom