The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Mbona mnaleta garage 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona mnaleta garage 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hao watu wanaunganisha gari tano kwa siku pekee😂😂😂. Kama kwa mwezi wameunganisha lory 150, kwa siku si hiyo itakuwa 150/30=5😂😂
Umerudi negotiation stage tena?😂😂😂Mbona mnaleta garage 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We know you only assembly two brands of trucks, HOWO and which all of them ziko Kenya😂😂😂Walifikiri Sinotruck ndiyo plant ya kwanza Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hao watu wanaunganisha gari tano kwa siku pekee😂😂😂. Kama kwa mwezi wameunganisha lory 150, kwa siku si hiyo itakuwa 150/30=5😂😂
Kenya started assembling Scania Vehicles before independence .kwani scania trucks those years zilikuwa assembled wapi?
Kwa mwezi wameunganisha 150 trucks which translate to 5 trucks per day. Kama hamjui hesabu usidhani kila mtu ni kama wewe😂😂😂
Na ilikua bado haijafunguliwa rasmi SASA imefunguliwa rasmi 40 trucks a day 😅😅👇 SASA 1200 kwa mweziKwa mwezi wameunganisha 150 trucks which translate to 5 trucks per day. Kama hamjui hesabu usidhani kila mtu ni kama wewe😂😂😂
From March to May ni 2 months or 61 days. 150 divided by 61days ni 2.4~3 trucks/day😂😂😂Na ilikua bado haijafunguliwa rasmi SASA imefunguliwa rasmi 40 trucks a day 😅😅👇 SASA 1200 kwa mwezi
View attachment 2987094
Ni kabla ya ufunguzi haikua rasmi SASA imefunguliwa rasmi alaf ajabu gari zote zishauzwa tayariFrom March to May ni 2 months or 61 days. 150 divided by 61days ni 2.4~3 trucks/day😂😂😂
Sasa utawekeza aje mabilioni mahali hakuna biashara? Kama hakuna biashara ya malori kwetu mbona haya makampuni yote yaliamua kuinvest Kenya wala sio Tanzania ambapo biashara ya malori iko? Watanzania desperation na wivu zitawaua🤣Hakuna biashara ya magari kwao ndio maana unaona hata AVA hua ana assemble gari kwa order maalum lakini sio official kua anatambulika na hzo kampuni never ever 😅😅
The reality is that they produce 2-3 trucks per day😂😂😂.Ni kabla ya ufunguzi haikua rasmi SASA imefunguliwa rasmi alaf ajabu gari zote zishauzwa tayari
40 trucks a day sawa na 1200 units a month
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
View attachment 2987106
They like to believe what they think and they you dispute their belief you automatically become their enemy 😂😂😂.Sasa utawekeza aje mabilioni mahali hakuna biashara? Kama hakuna biashara ya malori kwetu mbona haya makampuni yote yaliamua kuinvest Kenya wala sio Tanzania ambapo biashara ya malori iko? Watanzania desperation na wivu zitawaua🤣
Mnaenda wapi na mnaunganisha lory mbili kwa siku?😂😂😂40 units a day 🙌🙌🙌🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Go go Tanzania 🔥🔥🔥🔥
Official howo assembly plant in east and central Africa
View attachment 2987108