Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
Wewe ichoboy01 naona siku hizi huna akili. Mbona siku hizi mijadala yako haieleweki!?Konza na tatu ina over 18 good years yet hata 1% of its render hamujakamilisha,
Alaf dodoma ni government city usifananishe na ujinga wako, tatu na konza ni miradi ya foreigners wanaoekeza ila dodoma government city ni mji wa kisasa WA kiserekali unafananisha nn hapo?? Au we kwa akili yako unafkiri dodoma hakuna miradi ya kimaendeleo kuna hoteli kila Kona linajengwa, new modern airport, new modern electric SGR, modern bus terminals, modern market, modern city bus terminal etc