Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio hii hapa🤣🤣🤣🤣

View attachment 2981982
Hii hata Kirigiti stadium looks better in every aspectView attachment 2982487
Tizama pitch SASA 😅😅😅 utasema majaruba ya mpunga alaf munawatukana CAF nyinyi munafkiri CAF ni wajinga Sana
Screenshots_2024-05-06-14-35-50.png
 
Inachukua watazamaji 10,000 na SASA expansion inafanyika kufikisha 20,000

Na CAF wanaitambua na ina standard zote za kimataifa 😅😅😅😅😅😅😅
Standards zote za kimataifa wakati vilaza wananyeshewa na kupigwa na jua wakitazama mpira 😂
Screenshots_2024-04-16-09-32-49.png.jpg
 
Tizama pitch SASA 😅😅😅 utasema majaruba ya mpunga alaf munawatukana CAF nyinyi munafkiri CAF ni wajinga Sana
View attachment 2982488
Bongolala, huo uwanja Iko na paa all round sio kama lile zizi lenu tena inapatikana mbali sana na Nairobi. And this is how the pitch looks like currently
images - 2024-05-06T144424.398.jpeg


Azam is a child's play kulinganisha na Dandora stadium. If it's about the pitch, this is Dandora stadi pitch. Sasa linganisha na Ile kituko chenu you call a complex
images - 2024-05-06T144558.287.jpeg
images - 2024-05-06T144530.792.jpeg
images - 2024-05-06T144506.581.jpeg
 
Bongolala, huo uwanja Iko na paa all round sio kama lile zizi lenu tena inapatikana mbali sana na Nairobi. And this is how the pitch looks like currentlyView attachment 2982506

Azam is a child's play kulinganisha na Dandora stadium. If it's about the pitch, this is Dandora stadi pitch. Sasa linganisha na Ile kituko chenu you call a complexView attachment 2982502View attachment 2982503View attachment 2982504
Unatuonesha dandora stadium ya 3000 capacity 😅😅😅 hvi kwann nyinyi hua hamuko serious kwenye mambo yenu, kila kitu kwenu ni fake kwann?? Aliewaroga ni Nani kondoo nyinyi
 
Hahaha eti naumia nacheka Sana siku hzi mumegeuka kua comedians humu ndani😅😅

Munajenga uchafu gani hio alaf CAF ikiwanyima approval munaanza matusi
Huo uchafu inakukosesha usingizi unatamani tu kurudi kwenu Yemen
 
Unatuonesha dandora stadium ya 3000 capacity 😅😅😅 hvi kwann nyinyi hua hamuko serious kwenye mambo yenu, kila kitu kwenu ni fake kwann?? Aliewaroga ni Nani kondoo nyinyi
What is fake about Dandora stadium?

Wewe utaacha kuwa desperate lini?
 
Back
Top Bottom