Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Where Imesema tuliing'oa, yaani me naleta hapa evidence kabisa we unaniletea blah blah. Weka evidence.

Eti Inferiority complex, unaiongea sana vipi unayo?

Mtanzania awe na inferiority complex kwa Mkenya? Are you serious Mtanzania ambae anastand anachokiamini bila kujali wengine wanaonaje awe na inferiority complex kwa yule anayelamba watu viatu?
Hayo maneno mmejiaminisha wenyewe ila wengine hawamuoni hivo. Si ni juzi tu Mnijeria alisema mnajifanya Wazungu?

Ndio hii hapa comment mliyosema mling'oa reli. Ingekuwa Kenya tumeing'oa ili Bandari yenu isifaidike mngeiweka Hadi kwenye syllabus msiwai sahau.
Tuling'oa sisi Tanzania kuiona haina faida kwetu kulinda bandari ya tanga na dar
 
Fanya uwapelekee ndugu zako twitter na sehemu zote uwapoze machungu sasa.

Na hiyo video. Serious unaamina ngijangija yenu ambayo ina warning kama zote ya Max speed 100km/h kuanzia dashboard kuwekewa red line, mpaka nje kuandikwa bado unajitoa ufahamu.
Kenyans don’t look for justifications from people like Tanzanians. Kenyans like to criticize things back at home. Hata tungejengewa SGR that’s capable of handling trains going at a speed of 800km/hr bado wakenya wangecriticize tu.
 
Kenyans don’t look for justifications from people like Tanzanians. Kenyans like to criticize things back at home. Hata tungejengewa SGR that’s capable of handling trains going at a speed of 800km/hr bado wakenya wangecriticize tu.
🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa unafanya nini humu kutuletea dashboard yenye red notice, na tangazo? What your purpose? Proving yenu iko juu sio?

Basi wenzako wanaona yetu ipo juu kawasaidie simple as that.
 
Hayo maneno mmejiaminisha wenyewe ila wengine hawamuoni hivo. Si ni juzi tu Mnijeria alisema mnajifanya Wazungu?

Ndio hii hapa comment mliyosema mling'oa reli. Ingekuwa Kenya tumeing'oa ili Bandari yenu isifaidike mngeiweka Hadi kwenye syllabus msiwai sahau.
Kwamba Rosemary Odinga kuongea mbele ya UN ni just kuongea tu?

Well amini unavyoamini basi.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa unafanya nini humu kutuletea dashboard yenye red notice, na tangazo? What your purpose? Proving yenu iko juu sio?

Basi wenzako wanaona yetu ipo juu kawasaidie simple as that.
Pole kwa hasira.

Hizi hasira zote zimepanda after umegundua trains za Kenya are faster than your trains😂😂😂
 
Why can't you answer a straightforward question bila kupiga makona broo?
Because I feel elimu yako ina matatizo. Arguments zako unawekewa hoja alafu unatoa majibu rahisi, rahisi.

Wakati iko wazi kauli zenu zimeaffect sana Tanzania image on the rest of the World.

Kwanini umesema "ilikua innocent remarks ya waziri wenu wa utalii" why hukulink na impacts iliyosababishwa watalii kuishia huko kwenu na kuwekwa kwa van kuja bongo

Nimekuwekea mpaka link ya tours operators wenu kulalamika. Kama ni kuona wanyama si muna mbunga mnakuja kufanya nini Bongo?
 
Kwamba Rosemary Odinga kuongea mbele ya UN ni just kuongea tu?

Well amini unavyoamini basi.
I've already addressed these issues and told you, you make mountains out of mole hills ama hujui kusoma? Rosemary apologized and said she intended to say Olorgeseille which is a historical site in Kenya and confused it with Olduvai Gorge. Years and years you're still on it crying. That's why I say you're crybabies. Nimekupa hapo mifano ya mambo makubwa zaidi ambayo Tanzania imefanyia Kenya deliberately na hatuyaongelei badala ya kuaddress unaniattack eti una miaka ngapi, umesomea Nini. Nilidhani you were better of naona kama uko tu kama hizi ng'ombe zengine.
 
Back
Top Bottom