Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ningekua naongea kibantu ambacho sasa kinajulikana kiswahili.
Kibantu chetu kilishaanza kutambulika toka enzi za Mtwa Mkwawa ila kwa kukiboresha ndio tukatohoa maneno hadi ya kijerumani.
Hakuna lugha inaitwa kibantu. Bantu is an ethnolinguistic grouping of about 400 African ethnic group. In Kenya and Tanzania they are the mojority. Sio lugha haswa!
 
Hakuna lugha inaitwa kibantu. Bantu is an ethnolinguistic grouping of about 400 African ethnic group. In Kenya and Tanzania they are the mojority. Sio lugha haswa!
😂😂😂😂😂😂Aiseee.
ni nini maana ya 'ethnolinguistic'!?
 
That is called lending of words. Ndio maana in some places, television is called runinga wala sio televisheni. We all know the most acceptable swahili word for movie ni filamu wala sio hiyo muvi. These are lended words na hazina huhusiano wowote na chimbuko la lugha ya kiswahili
Ukisikia lending of words ndio maanaye kutohoa.
Kutohoa ni uazimaji wa msamiati toka lugha ya kigeni na kuutumia katika lugha nyingine husika.
 
Yoruba si Bantu language maelezo yapo online! Pitia usome!
Nimepitia mkuu kuna maelezo mawili.
Yapo yanayosema bantu na yapo yanayosema sio bantu mkuu.
Ila kwa mimi nimeukubali upande wa bantu kwa sababu moja mkuu,asili ya wanaoongea hiyo lugha ya Yoruba ethnically ni bantu.
 
Yoruba si Bantu language maelezo yapo online! Pitia usome!
To make a long story short

1713885767762.png
 
Nimepitia mkuu kuna maelezo mawili.
Yapo yanayosema bantu na yapo yanayosema sio bantu mkuu.
Ila kwa mimi nimeukubali upande wa bantu kwa sababu moja mkuu,asili ya wanaoongea hiyo lugha ya Yoruba ethnically ni bantu.
Kufupisha Story.
Yoruba and Bantu are both Niger–Congo Language
 
Nimepitia mkuu kuna maelezo mawili.
Yapo yanayosema bantu na yapo yanayosema sio bantu mkuu.
Ila kwa mimi nimeukubali upande wa bantu kwa sababu moja mkuu,asili ya wanaoongea hiyo lugha ya Yoruba ethnically ni bantu.
ohk
 
Back
Top Bottom