Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Namungo, ulidhani tutakuacha hivi hivi 😃😄Pole kwa maumivu.
Ligi kuu ya Kenya hakuna mechi hata moja inachezwa usiku wakati TZ game zinapigwa usiku kuanzia DAR, TANGA, DODOMA, KAGERA na LINDI. Viwanja vya Mkapa, Azam, Mkwakwani, Jamhuri, Kaitaba na Namungo vyote vipo na taa na game zinapigwa usiku.