Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa inaweza itesa Mwanza kwenye hotels 7bu ni tourist hub!!
 
IMG_1301.JPG
 
That's totally different na huku Kenya. In kenya, there's what we call ancestral land. Ile land umeridhi kutoka kwa babako na babako pia aliridhi kutoka kwa babu yako. Serikali haina usemi kwa ardhi kama hiyo unless ni mradi wa serikali vile umetaja hapo juu of which you will be compensated by the government. Then kuna hiyo ya kulease for a period of 99 years though hiyo si mob huku kwetu. Halafu kuna ardhi ya serikali ambayo hakuna mwananchi yeyote ako na usemi. For example, the whole of kibera is government land. in kenya, ukishanunua ardhi na kupokea title deed that land belongs to you. The only thing the government will require from you ni kulipa annual land rates which is a very small fee but this mostly happens in big towns and cities
Ndo maana mnashida na land
 
I didn't expect someone from an LDC like you to care about the price of land in Nairobi because you can't afford land hata pale Kibera mnayoidharau. By default, all big cities around the world have exorbitant land prices. Go to London, Paris or New York utashangaa. Hata hapa Africa, big cities like Cairo and Johannesburg have very high land prices. Kwani huko pia hakuna serikali wa ku regulate land prices? Ndo maana we keep telling you to stick to your lanes and stop comparing your glorified village with Nrb.
.
So you're insinuating that copying everything foreign is the way to go? You might as well go ahead and tan your skin because that's also foreign. A poor person from Kenya is proud of high prices of land that he can't afford? This is nonsensical.
 
Ndo maana mnashida na land
Shida gani wakati nimekueleza huku kwetu watu wako na ancestral land? Ama kizungu ndo inakupiga chenga? While you lease land from the government for 36 years in Tanzania, I own my land for life here in Kenya. Kati ya hawa watu wawili nani ako na shida?
 
.
So you're insinuating that copying everything foreign is the way to go? You might as well go ahead and tan your skin because that's also foreign. A poor person from Kenya is proud of high prices of land that he can't afford? This is nonsensical.
We are not coppying anything. I said that it's by DEFAULT. Mbona hata kizungu rahisi hivi hamwezi elewa? I said that it's by default for big cities like Nairobi to have exorbitant land prices. it's not by design, it's by deault my brother. I even gave examples of other big cities where prices of land is even more expensive than here in Nairobi. And again, si makosa ya Nairobi kuwa regional and continental hub hapa Africa ndiyo price ya land ikuwe juu. Blame it on investors and international companies who choose it over Dar. I hope umenielewa sasa.
 
We are not coppying anything. I said that it's by DEFAULT. Mbona hata kizungu rahisi hivi hamwezi elewa? I said that it's by default for big cities like Nairobi to have exorbitant land prices. it's not by design, it's by deault my brother. I even gave examples of other big cities where prices of land is even more expensive than here in Nairobi. And again, si makosa ya Nairobi kuwa regional and continental hub hapa Africa ndiyo price ya land ikuwe juu. Blame it on investors and international companies who choose it over Dar. I hope umenielewa sasa.
Investors over everything,ur topic ain't tangible
 
Back
Top Bottom