Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kolo una swali lingine kuhusu huu ujinga wako wa zip line in tz?.

72d3f9d7ecd9b272a15e60fc6c01f9d2.jpg
7e56d52c21dcd1ebcfbdec87c013187b.jpg
5443948cf37083aea734392c3f1bd8ae.jpg
 
I wish you also responded this fast to our numerous requests asking you to show us aerial views of your residential areas in Dar. Ungekuwa kijana mzuri sana.
kwanini sisi tunapohitaji picha za kibera,mathare na slum mbalimbali hapo Nairobi,umewahi kuona tuki-demand wakenya mtuletee?...acheni uvivu...tafuteni wenyewe aerial photos za makazi ya watu wa dar halafu mzilete hapa.

ukiona mtoto wa kiume ana-demand sana kufanyiwa kitu na mwanaume mwenzake,basi huyo anatatizo kubwa katika jinsia yake.
 
Tz ni unaingia mkataba na serikali kupata land
Iko hivi
Ukiingia mkataba unapewa either 33yrs au 66yrs au 99yrs
Na ukijenga hyo sehem iyo ardhi haiwezi ikachukuliwa na kupewa mtu mwingine ilihali hauko weeling kuondoka, so unalipia tena ili uendelee kukaa pale,
Serikali itakulazim uondoke kama miundombinu ya jamii kama barabara au kupanua kiwanja cha ndege na apo serikali italazim kukulipa hella zaid ya thaman ya eneo hilo kwa mda uo (na si mda uliponunua)
That's totally different na huku Kenya. In kenya, there's what we call ancestral land. Ile land umeridhi kutoka kwa babako na babako pia aliridhi kutoka kwa babu yako. Serikali haina usemi kwa ardhi kama hiyo unless ni mradi wa serikali vile umetaja hapo juu of which you will be compensated by the government. Then kuna hiyo ya kulease for a period of 99 years though hiyo si mob huku kwetu. Halafu kuna ardhi ya serikali ambayo hakuna mwananchi yeyote ako na usemi. For example, the whole of kibera is government land. in kenya, ukishanunua ardhi na kupokea title deed that land belongs to you. The only thing the government will require from you ni kulipa annual land rates which is a very small fee but this mostly happens in big towns and cities
 
Mimi Mtz ila usifananishe Nairobi na vitu vya ajabu; Dar has a sweet name but the city is dirty!
wewe sio mtz wa kwanza kuja katika thread hii na mtizamo wa aina hiyo.walishakuja wengi,ila baadae wakatoweka.

ni usafi gani wa nairobi unaofanya dar iwe chafu.tuanzie ku-debate hapo kwanza halafu tuhamie upande mwingine.

plz usisahau kuambatanisha majibu yako na ushahidi wa picha au screenshot.jukwaa hili hatupigi porojo,bali tunatoa maelezo na vielelezo.twende kazi mtz mwenzangu.
 
Hii nyumba imekosa fedha ya finishing?ni mwaka unaisha bado iko kama gofu
17aad87aee651763eaf3ea8e6a854b16.jpg
Sema tu nacho yako haiwezi amini hapo ni mombasa. Ama macho inakubali lakini moyo ndo inakataa? You wish it was in your ldc
 
hii ni ya Tuusan na wengine wanaofikiri Mombasa ni ligi yao...tazama hapa alafu fananisha na huo mji wenu sijui niite village, Mwanza...
XW3PG3p.jpg
5lJljuz.jpg
7Icsk71.jpg
wDkaAgn.jpg
XBrGKPJ.jpg
29690982362_d75f158193_b.jpg
29511251660_5ba9385c3c_b.jpg
lz2NKBC.jpg
 
hii ni ya Tuusan na wengine wanaofikiri Mombasa ni ligi yao...tazama hapa alafu fananisha na huo mji wenu sijui niite village, Mwanza...
XW3PG3p.jpg
5lJljuz.jpg
7Icsk71.jpg
wDkaAgn.jpg
XBrGKPJ.jpg
29690982362_d75f158193_b.jpg
29511251660_5ba9385c3c_b.jpg
lz2NKBC.jpg
Hamna kitu hapo filter kibao wakati majengo ya kisasa ni machache mengi ni ya kizamani yale ya wahindi na waarabu yako kma vichuguu vya mchwa
 
Back
Top Bottom