KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,820
Yeah c hizo ni bil2.2tshI am talking about kenya shillings NOT Tanzania shillings. you may confuse the two
Yeah c hizo ni bil2.2tshI am talking about kenya shillings NOT Tanzania shillings. you may confuse the two
ukiona mkenya anatoa povu la dhihaka kuhusu project fulani,basi fahamu kwamba ulimzidi ujanja na maarifa katika kupata project hiyoeeh kasarani,nyayo haiezi host upuzi
Pole kwa povu ndugu huna hoja😀😀😀😀I mean convince me that they are better than kisumu roads
not that crap
Hupatian 1/8 hapo posta ni pesa ngapi?
Yeah apo ndo tumewapiga gapyani land cheap sana tz...hizi bei zao divide na 20 utashangaa na pia kuna kigamboni(runda yaoView attachment 641685 View attachment 641685
View attachment 641686 )
compare na bei za kenya View attachment 641688
kwanza hata Zimbabwe sio nchi ya kujifanya fanya hapa kana kwamba ni 1st world...tuseme wameogopa kichapo tu ama wameidharau kombe la CECAFA...Zimbabwe ni nchi inayodharauliwa sana...hata nimeshangaa wakijifanya kiasi hichoukiona mkenya anatoa povu la dhihaka kuhusu project fulani,basi fahamu kwamba ulimzidi ujanja na maarifa katika kupata project hiyo![]()
sababu hasa ya kuyaita mashindano ya cecafa challenge cup upuuzi ni ile hasira na wivu wenu kwa azam TV ya mtanzania kupata haki ya ku-broadcast mashindano hayo ndani ya ardhi yenu.![]()
mnaita cecafa tournament upuuzi mkisahau kwamba cecafa's history is part and parcel of kenya...cecafa ni mali ya kenya sio ya Tanzania.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
swali muhimu:
kwanini mashindano ya cecafa challenge 2017 hayafanyiki Nairobi na badala yake yanafanyika mashinani(machakos na kakamega)
jibu ni sababu za kiusalama,waandaji wa cecafa hawana uhakika wa usalama wa viwanja vya Nairobi ikiwemo cha nyayo na kasarani kutokana na sababu za kiusalama.
wameona bora wapeleke mashindano mashinani ambako hakuna mivutano mikubwa ya kisiasa.
sababu hizo hizo za kiusalama ndio zilizopelekea timu ya taifa ya zimbabwe kutangaza kujitoa hapo jana.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
siasa zenu za kishamba za ukabila ndio zimewafikisha hapo..aibu kubwa sana.
nimejuiliza swali ina maana kiusalama situation ya zimbabwe ni nafuu zaidi kushinda kenya?...kwanini wanaharibu image ya kenya?.wapuuzi hawa.kwanza hata Zimbabwe sio nchi ya kujifanya fanya hapa kana kwamba ni 1st world...tuseme wamogopa kichapo tu...Zimbabwe ni nchi inayodharauliwa sana...hata nimeshangaa wakijifanya kiasi hicho
Hawajajifanya ila ni kweli usalama hamuna na huo ndio ukweli japo mchungu 😀😀😀😀kwanza hata Zimbabwe sio nchi ya kujifanya fanya hapa kana kwamba ni 1st world...tuseme wameogopa kichapo tu ama wameidharau kombe la CECAFA...Zimbabwe ni nchi inayodharauliwa sana...hata nimeshangaa wakijifanya kiasi hicho
😀😀😀😀😀😀😀nimejuiliza swali ina maana kiusalama situation ya zimbabwe ni nafuu zaidi kushinda kenya?...kwanini wanaharibu image ya kenya?.wapuuzi hawa.
2nd Largest Citykwa hivyo tunalinganisha na Kisumu...what about your 2nd city?
kisumu kusema ukweli hata mimi naweza ogopa kuenda kulenow i know why zimbabwe has withdrawn from the cacafa tournament...indeed insecurity is the main reason....kenya iko na ukabila mob sana.
![]()
![]()
Lipo side ya upanga na pio liko karibu sana na kariakooNingependa kujua, Ghorofa la Umoja wa vijana lipo Kariakoo?
hii ndio city ya pili?? huu ni upuuzi kwa Mombasa
SamoraNingependa kujua, Ghorofa la Umoja wa vijana lipo Kariakoo?
bado sana bro...hata haifikii Mombasa quarter
Kama ni upuuzi naomba unioneshe bus stage ya mombasa naisubiria hapa, mwanaza ina bus stage mbili kubwa 😀😀hii ndio city ya pili?? huu ni upuuzi kwa Mombasa