IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
Sio kupenda kwao, serikali imefinya media, wanaambiwa wapene fake news, ndo waonekane better. And it has to be Kenya because of course Kenya is the reference pointNilikuwa nimeshangaa. Sukari Bei imeshuka na iko kwa wingi tuu. babayao255 unaona Yale huwa nakwambia mko petty? Ingekuwa ni media ya Kenya imeshare habari hizi za uongo kuhusu Tanzania mngezuandika kwa kitabu cha kumbukumbu na 100 years from now wajukuu wenu bado wangekuwa wanaongelea jinsi Kenya tunavyoharibia nchi yenu Jina.🤣🤣