Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leasing aircraft ni jambo la kawaida hata ET wakona leased aircrafts, nimekuambia utuambie tumeileaase for how many years ju unajifanya mjuaji.
Wait till they realize it’s more economical and they start doing it and these Bongolalas will change their tune so fast it will blind our eyes… Remember the apartments were dormitories till they started building and they went crickets after… you don’t hear about dormitory no more… As I say , Bongolala is a mental condition…🤣🤣🤣
 
Nimekuonesha Maeneo 18 unakuja kujifariji na eneo majo. Leta maeneo 18 kwanza 🤣 🤣 🤣 Unaogopa?
Mko hovyo, Kawe hii mlianza kuimba ni miaka mingapi?.., Kisumu itawatoa Kamasi., Makasembo estate ilianza kujengwa majuzi tu, sio muda mrefu na kwa sasa iko almost kuanza finishing.., kwanza hii picha ni ya kitambo kidogo, imepita hapa.., yaani miradi kama ujenzi wa nyumba imekua SGR?:ICANT::ICANT::ICANT:

Kisumu affordable housing.., na hii ni baadhi ya ongoing priojects..,
1712063254150.png

1712063456019.png
 
Mko hovyo, Kawe hii mlianza kuimba ni miaka mingapi?.., Kisumu itawatoa Kamasi., Makasembo estate ilianza kujengwa majuzi tu, sio muda mrefu na kwa sasa iko almost kuanza finishing.., kwanza hii picha ni ya kitambi kidogo, imepita hapa.., yaani miradi kama ujenzi wa nyumba imekua SGR?:ICANT::ICANT::ICANT:

Kisumu affordable housing.., na hii ni baadhi ya ongoing priojects..,
View attachment 2951801
View attachment 2951806
vipi konza city au unajitoa ufahamu.
 
vipi konza city au unajitoa ufahamu.
Konza iko sawa sana, ile ni techno city ya kibiashara.., horizontal infrastructure ndio serikali imekamilisha, sasa tunepea nafasi wawekezaji.., Kenya sio Tanzania, kamradi ka serikali ka kujenga tu makazi sio jiji kanawatesa kwa miaka?
Konza sio makazi ya watu ni biashara na uchumi..,
1712065156754.png

1712065345885.png

1712065281441.png

1712065008172.png

1712064987539.png
 
Konza iko sawa sana, ile ni techno city ya kibiashara.., horizontal infrastructure ndio serikali imekamilisha, sasa tunepea nafasi wawekezaji.., Kenya sio Tanzania, kamradi ka serikali ka kujenga tu makazi sio jiji kanawatesa kwa miaka?
Konza sio makazi ya watu ni biashara na uchumi..,
View attachment 2951860
View attachment 2951866
View attachment 2951863
View attachment 2951859
View attachment 2951855
Since Mwai Kibaki mpaka leo Ruto anakaribia kumaliza muda wake.
 
Bahati mbaya mafukara wapo Nairobi wanaishi kama Nguruwe.
Wengi ni watanzania, yaani hawkers wa kahawa, na wa vitenge, boda boda riders kutokea Arusha, wajakazi manyumbani mwetu, shamba boys.., kwani unadhani wata afford a bedsitter or kuishi kwa apartment, watu wa uswazi kutokea Dar kama wewe, wa Rwanda, Burundi, Uganda, na DRC wanajaza slums sana.., na tukiongezea omba omba kutoka kwenu (mbona hawatokei Uganda ama Rwanda..,HDI report ya World Bank imedhibitisha ni kweli mko hovyo), omba omba ni dhibitisho mkono mtupu haulambwi., mngekua nafuu wangebakia huko huko waombe hela., World bank 2024 imewaumbua tena :ICANT: :ICANT: :ICANT: :ICANT: :ICANT: :ICANT: :ICANT:
 
Konza iko sawa sana, ile ni techno city ya kibiashara.., horizontal infrastructure ndio serikali imekamilisha, sasa tunepea nafasi wawekezaji.., Kenya sio Tanzania, kamradi ka serikali ka kujenga tu makazi sio jiji kanawatesa kwa miaka?
Konza sio makazi ya watu ni biashara na uchumi..,
View attachment 2951860
View attachment 2951866
View attachment 2951863
View attachment 2951859
View attachment 2951855
Leo umefufuka kama mzimu 😀😀😀 au ulikuwepo humu na I'd nyingine🤣🤣🤣
 
Konza iko sawa sana, ile ni techno city ya kibiashara.., horizontal infrastructure ndio serikali imekamilisha, sasa tunepea nafasi wawekezaji.., Kenya sio Tanzania, kamradi ka serikali ka kujenga tu makazi sio jiji kanawatesa kwa miaka?
Konza sio makazi ya watu ni biashara na uchumi..,
View attachment 2951860
View attachment 2951866
View attachment 2951863
View attachment 2951859
View attachment 2951855miaka kumi nangapi hata 1% ya render hajafikisha we mpumbavu ndio maana wanasiasa wanakula pesazenu kwakuwa ninyi ni nyumbu .
 
Leo umefufuka kama mzimu 😀😀😀 au ulikuwepo humu na I'd nyingine🤣🤣🤣
Sijakua humu.., mimi ni ule mse, hakuna kujificha, ni piga nipige, mbaya mbaya.., uhali gani lakini?..,
 
Wengi ni watanzania, yaani hawkers wa kahawa, na wa vitenge, boda boda riders kutokea Arusha, wajakazi manyumbani mwetu, shamba boys.., kwani unadhani wata afford a bedsitter or kuishi kwa apartment, watu wa uswazi kutokea Dar kama wewe, wa Rwanda, Burundi, Uganda, na DRC wanajaza slums sana.., na tukiongezea omba omba kutoka kwenu (mbona hawatokei Uganda ama Rwanda..,HDI report ya World Bank imedhibitisha ni kweli mko hovyo), omba omba ni dhibitisho mkono mtupu haulambwi., mngekua nafuu wangebakia huko huko waombe hela., World bank 2024 imewaumbua tena :ICANT: :ICANT: :ICANT: :ICANT: :ICANT: :ICANT: :ICANT:
Tanzania ipo na population ya 60M+
Jumla ya bodaboda zilizopo Tanzania ni 3M Sasa hao more than 57M unadhani wanapata wapi pesa za
Kununua Mavazi, Chakula nk.

Nikikuita kuwa wewe ni stupid nitakuwa nimekosea? 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Tanzania ipo na population ya 60M+
Jumla ya bodaboda zilizopo Tanzania ni 3M Sasa hao more than 57M unadhani wanapata wapi pesa za
Kununua Mavazi, Chakula nk.

Nikikuita kuwa wewe ni stupid nitakuwa nimekosea? 🤣 🤣 🤣 🤣
Boss mimi haunipatii hizo hadithi za vijiweni, ondokeni Kenya na omba omba wenu niwaheshimu.., endeleeni kupiga boda boda na kuuza kahawa, salon na omba omba kwa amani.., ukweli mnachukia sana..,
 
Back
Top Bottom