Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wejamaa Teargas nilikwambia kwenye video ya Bertin aliyopost juzi ikionyesha Upanga, kuna buildings kumi au zaidi zenye ni under construction , hizi hapa 2 buildings 👇
Screenshot_20240330-231533_1.jpg
anothor 2 buildings 👇
Screenshot_20240330-232417_1.jpg
Screenshot_20240330-232500_1.jpg
another 2 buildings 👇
Screenshot_20240330-231840_1.jpg
Screenshot_20240330-231957_1.jpg
Screenshot_20240330-231851_1.jpg
another 2 buildings 👇
Screenshot_20240330-232038_1.jpg
Screenshot_20240330-232050_1.jpg
another 1 building U/C 👇
Screenshot_20240330-232234_1.jpg
.. yes it's Upanga beib 👇
Screenshot_20240330-232103_1.jpg
.. jumlisha hizo namba hapo Halafu unipe majibu,je kutoka kwenye video ya Bertin kulionekana gorofa ngapi under construction in upanga alone.?

Halafu kuna mbwa zinakwambia sisi tuliacha kujenga magorofa 😂😂😂
 
Kumbuka ukiuza mali ya Familia yako yote, huwezi afford nyumba huo mtaa.
Karen is very cheap compared to Masaki, 1 acer of land in karen is around 45 million Kenya sh and the most expensive one is 75 million Kenya sh which is equal to 1.4 billion Tz shillings,
Screenshot_20240331-225033_1.jpg
cheki masaki sasa acre moja ya ardhi in masaki is 4 billion tz sh = 205 million Kenya sh👇.
Screenshot_20240331-225312_1.jpg
"Big Plot for Sale in Masaki Along Hailesilasi Road. in Msasani - Land & Plots for Sale, Chriss Real Estate Agency | Jiji.co.tz" Big Plot for Sale in Masaki Along Hailesilasi Road.. Masaki is the most expensive neighborhood in the region.
 
Wejamaa Teargas nilikwambia kwenye video ya Bertin aliyopost juzi ikionyesha Upanga, kuna buildings kumi au zaidi zenye ni under construction , hizi hapa 2 buildings 👇View attachment 2950331anothor 2 buildings 👇View attachment 2950332View attachment 2950333another 2 buildings 👇View attachment 2950334View attachment 2950335View attachment 2950336another 2 buildings 👇View attachment 2950338View attachment 2950339another 1 building U/C 👇View attachment 2950343.. yes it's Upanga beib 👇View attachment 2950345.. jumlisha hizo namba hapo Halafu unipe majibu,je kutoka kwenye video ya Bertin kulionekana gorofa ngapi under construction in upanga alone.?

Halafu kuna mbwa zinakwambia sisi tuliacha kujenga magorofa 😂😂😂
Kama kizingo mwanangu
 
Wejamaa Teargas nilikwambia kwenye video ya Bertin aliyopost juzi ikionyesha Upanga, kuna buildings kumi au zaidi zenye ni under construction , hizi hapa 2 buildings 👇View attachment 2950331anothor 2 buildings 👇View attachment 2950332View attachment 2950333another 2 buildings 👇View attachment 2950334View attachment 2950335View attachment 2950336another 2 buildings 👇View attachment 2950338View attachment 2950339another 1 building U/C 👇View attachment 2950343.. yes it's Upanga beib 👇View attachment 2950345.. jumlisha hizo namba hapo Halafu unipe majibu,je kutoka kwenye video ya Bertin kulionekana gorofa ngapi under construction in upanga alone.?

Halafu kuna mbwa zinakwambia sisi tuliacha kujenga magorofa 😂😂😂
Venye tu nilisema. There are only two buildings in Upanga under construction currently. There are also three stalled projects.

1. The building with the green net is the same building in the fourth picture behind the White House with a red roofing.

2. The other building in the first picture is stalled, same as the buildings in the second and third picture. Look at the color of the pillars and walls and you will know what I’m talking about.

3. The fourth, fifth and sixth pictures are of the same buildings as of the the one with the green net on the first picture.

4. Seventh and eighth picture are same buildings as of fourth, fifth and sixth pictures.

5. Eighth picture is a stalled project again. Look at the pillars and walls.

Conclusion: There are only two buildings in Upanga currently under construction and three stalled projects zenye hata hamjui zitaisha lini.
 
Karen is very cheap compared to Masaki, 1 acer of land in karen is around 45 million Kenya sh and the most expensive one is 75 million Kenya sh which is equal to 1.4 billion Tz shillings, View attachment 2950353cheki masaki sasa acre moja ya ardhi in masaki is 4 billion tz sh = 205 million Kenya sh👇. View attachment 2950354 "Big Plot for Sale in Masaki Along Hailesilasi Road. in Msasani - Land & Plots for Sale, Chriss Real Estate Agency | Jiji.co.tz" Big Plot for Sale in Masaki Along Hailesilasi Road.. Masaki is the most expensive neighborhood in the region.
Akili yako inakusaidia kweli?
 
Venye tu nilisema. There are only two buildings in Upanga under construction currently. There are also three stalled projects.

1. The building with the green net is the same building in the fourth picture behind the White House with a red roofing.

2. The other building in the first picture is stalled, same as the buildings in the second and third picture. Look at the color of the pillars and walls and you will know what I’m talking about.

3. The fourth, fifth and sixth pictures are of the same buildings as of the the one with the green net on the first picture.

4. Seventh and eighth picture are same buildings as of fourth, fifth and sixth pictures.

5. Eighth picture is a stalled project again. Look at the pillars and walls.

Conclusion: There are only two buildings in Upanga currently under construction and three stalled projects zenye hata hamjui zitaisha lini.
Sikua na lengo unikubalie nilichotaka kusema ila ni kukuelimisha na kuumbua uongo wako humu ndani, nani asiekujua kwa ubishi hewa wewe.? 😂😂😂

Nilishafanya kazi yangu kwahyo watu wameona ukweli. Bye bye 😎
 
Sikua na lengo unikubalie nilichotaka kusema ila ni kukuelimisha na kuumbua uongo wako humu ndani, nani asiekujua kwa ubishi hewa wewe.? 😂😂😂

Nilishafanya kazi yangu kwahyo watu wameona ukweli. Bye bye 😎
I guess you used to be bottom in class if that’s your perfect analysis of that video. You keep on repeating pictures of two buildings hili zionekane mingi.
 
Venye tu nilisema. There are only two buildings in Upanga under construction currently. There are also three stalled projects.

1. The building with the green net is the same building in the fourth picture behind the White House with a red roofing.

2. The other building in the first picture is stalled, same as the buildings in the second and third picture. Look at the color of the pillars and walls and you will know what I’m talking about.

3. The fourth, fifth and sixth pictures are of the same buildings as of the the one with the green net on the first picture.

4. Seventh and eighth picture are same buildings as of fourth, fifth and sixth pictures.

5. Eighth picture is a stalled project again. Look at the pillars and walls.

Conclusion: There are only two buildings in Upanga currently under construction and three stalled projects zenye hata hamjui zitaisha lini.
Stalled project unatumia kigezo gani kwamba ww ndio civil engineer au 🤣🤣🤣 unajipa kazi sio yako kondoo ww
 
Air Tanzania is making a similar but bigger mistake that Kenya Airways made in the early 2010s. They are so focused on expanding they forget the company has to be healthy. Kenya Airways bought a lot of planes in early 2010s and the rapid expansion saw the airline go to its knees. Nasema ya ATCL ni makosa kubwa zaidi kisa ATCL bado changa sana hata haijatengeneza profit yake ya kwanza washaanza kununua ndege kiubabe. Kenya Airways ilifanya rapit expansion wakati ikiwa ranked the best airline in Africa na ikiwa na profits kibao yet haikusucceed sasa hawa wanamake losses kila mwaka wanangángánia expansion. Sahii tunavyoongea KQ imepunguza ndege kutoka 54 hadi 35 ndio ianze kukua kwa akili na upole na ndio imepata profit ya kwanza kwa miaka 7.Save this comment mtakuja kuniambia.
Kinacho i cost Air Tanzania sio kwamba tunanunua ndege sana . Ni matatizo yafwatayo

1. A220s ziko 4 ila ndege hizi sio tu kwa Tanzania bali dunia nzima zimekuwa zikipata shida sana . Hivyo imekuwa shida kupata consitency .Na hii ni tatizo la engine za PW kama unajua A220s ni new planes with new engine types , hii changamoto imeifanya Atcl irudi nyuma

2. Kumilikiwa na TGFA . Air Tanzania sio independent company hivyo it doesnt make its own decision . Kwa vile TGFA ndo owners , managment ya Atcl inaingiliwa sana


3. Kama tutaendelea kununua ndege ila zinatumika efficently sio shida.Plans zilikuwa ku expand routes ila A220s zimeilet down Air Tanzania
 
Back
Top Bottom