REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,239
- 10,926
Nchi ya kitu kidogo
Sawa TajiriKumbuka ukiuza mali ya Familia yako yote, huwezi afford nyumba huo mtaa.
Kweli sio Berlin, brt lane kwenye intersection bila traffic lights. Wajerumani sio wajinga kiasi hiko
View: https://twitter.com/IAMartin_/status/1774350980735221979?t=g0XS-dWB_Kt9z3w1YLSLKw&s=19
Sio rahisi kupreserve greenery mahali kuliko na majengo mengi kivipi? Hamna culture ya kupreserve greenery the vice versa is true in Tanzania, the place more people are inhabiting the more greener it becomes sababu popote mtanzania akijenga lazima apande miti na maua kuzunguka eneo lake it more likely hutumia miti as demarcation of your land pawe mjini au kijijini, lakini ninyi mnapenda kuishi kwenye dormitories na mpo wengi kama chawa hii mifumo kwenu haipo applicableTofauti ni kwamba hapo vijijini ni mashamba, hapo Loresho ni mjini kuna majengo yet bado tumemanage kupreserve greenery. Sii rahisi kupreserve greenery mahali kuliko na majengo mengi.
Sasa zile vitenge architecture ndio unasema mnajua kupreserve greenery. Broo..............wachana na hiyo kitu unavuta. 🤣Sio rahisi kupreserve greenery mahali kuliko na majengo mengi kivipi? Hamna culture ya kupreserve greenery the vice versa is true in Tanzania, the place more people are inhabiting the more greener it becomes sababu popote mtanzania akijenga lazima apande miti na maua kuzunguka eneo lake it more likely hutumia miti as demarcation of your land pawe mjini au kijijini, lakini ninyi mnapenda kuishi kwenye dormitories na mpo wengi kama chawa hii mifumo kwenu haipo applicable
Mkenya kastaajabu Sana mpaka anataka kulia vile Tanzania imewaacha mbali Sana🤣🤣
View: https://youtu.be/yBJkN6ikCxQ?si=yxUgIgUqDqwEypaK
Eti mahali mtanzania amejenga ni lazima apande miti? 🤣🤣🤣Sio rahisi kupreserve greenery mahali kuliko na majengo mengi kivipi? Hamna culture ya kupreserve greenery the vice versa is true in Tanzania, the place more people are inhabiting the more greener it becomes sababu popote mtanzania akijenga lazima apande miti na maua kuzunguka eneo lake it more likely hutumia miti as demarcation of your land pawe mjini au kijijini, lakini ninyi mnapenda kuishi kwenye dormitories na mpo wengi kama chawa hii mifumo kwenu haipo applicable
😆😆😆👇👇👇👇Eti mahali mtanzania amejenga ni lazima apande miti? 🤣🤣🤣
Tell me, waliojenga hapa sio watanzania?View attachment 2950522View attachment 2950523
Sasa wewe ukiona green net mbili upanga unashikwa na nyege.Wejamaa Teargas nilikwambia kwenye video ya Bertin aliyopost juzi ikionyesha Upanga, kuna buildings kumi au zaidi zenye ni under construction , hizi hapa 2 buildings 👇View attachment 2950331anothor 2 buildings 👇View attachment 2950332View attachment 2950333another 2 buildings 👇View attachment 2950334View attachment 2950335View attachment 2950336another 2 buildings 👇View attachment 2950338View attachment 2950339another 1 building U/C 👇View attachment 2950343.. yes it's Upanga beib 👇View attachment 2950345.. jumlisha hizo namba hapo Halafu unipe majibu,je kutoka kwenye video ya Bertin kulionekana gorofa ngapi under construction in upanga alone.?
Halafu kuna mbwa zinakwambia sisi tuliacha kujenga magorofa 😂😂😂
Tanzania has a history of unsportsmanship behaviors like spiking opponents foods.But why did they have to do that!?