Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamkosi sababu kawaida yenu ila mioyoni mwenu mnakili tuko juu zaidi yenu kigumu ni kutamka kwa maneno na vidole, hata roho zenu ngumu zinakiliii hilo
Ashakuambia difference kati ya sgr na tazara hiyo yenu mnayoita sgr pia. Ni kitu gani ngumu sana kuelewa hapo ama ni ubishi ndo mnapenda.
 
Hii pinacle inawakosesha sana usingizi. mlionyeshwa concrete mixer mkashikwa na kiwewe hadi mkabadilisha lugha eti wacha tuone first floor ikijengwa. my friend, it will pierce the african skyline 300 meters high and 70 floors tall! Number mtazidi kuisoma
Itatukosesha vp usingizi wakati haipo😀😀😀😀
 
New nyamagana stadium mwanza
IMG_1266.JPG
IMG_1267.JPG
IMG_1268.JPG
IMG_1269.JPG
IMG_1270.JPG


Ccm kirumba mwanza
IMG_1271.JPG
IMG_1272.JPG
 
Still waiting for residential estates za Dar......11 months later.........

In Dar its mainly Apartments..ambazo ziko kwenye towers ..hizo residential estate ..its not our type of thing ..but go and google
-Dar Villas
-Mlimani Villas
-Avic Town
-Dege Eco Village
-Mwongozo Beach Estate

Hizo ni mfano na ziko estate nying sana kigambon na nyngne chanika ..tatizo lenu mmekariri mnataka muone estate kila sehemu
 
In Dar its mainly Apartments..ambazo ziko kwenye towers ..hizo residential estate ..its not our type of thing ..but go and google
-Dar Villas
-Mlimani Villas
-Avic Town
-Dege Eco Village
-Mwongozo Beach Estate

Hizo ni mfano na ziko estate nying sana kigambon na nyngne chanika ..tatizo lenu mmekariri mnataka muone estate kila sehemu
Asante kwa kukubali kwamba hamna estates. Tunapenda watu kama wewe who speak the truth. And what did you mean by 'apartments ambazo ziko kwenye towers'? So wewe unaishi TPA tower ama what exactly do you mean?
 
Asante kwa kukubali kwamba hamna estates. Tunapenda watu kama wewe who speak the truth. And what did you mean by 'apartments ambazo ziko kwenye towers'? So wewe unaishi TPA tower ama what exactly do you mean?

Dar hamna nying kama nairobi huo ni ukweli ..na cjasema Dar hakuna estate ..zipo ndo maana nkasema ka google
1.Dar Villas
e7e981a7ec7d3f407ee561dac15e99d2.jpg


2.mlimani villas
8f10c07829fa686079d62feb0b4ffc48.jpg


3.Avic town
b635a3ee3f74f15d00eee1f1e03036be.jpg


4.Mwongozo Beach
92926aee9415ff4bc774e48e585825f7.jpg


Hio ni mifano nenda ka google nyinge Ada Estate, Sea Villas ,Dege eco village ,Bella Vista..zote ziko Dar

Sasa sisi tuna mainly Apartments

Naona umerikariri TPA Tower ..it is an office tower
Hebu angalia hizi

1..Umoja Wa Vijana ..kuna 25flr x2 + 14flr + 11flr
933b8f4707e6f1c28273f27f0ad89453.jpg


2.Palm Residency
14a38a6bc4f850aec9ef5a58ca1b2650.jpg


3..Uhuru Heights
f664247d421fd672461c5282b9f16e61.jpg


4. Crystal tower
b16e064670c5b8eb9bccfda8bc33c1dc.jpg
 
meanwhile azam tv crew from tz is already in machakos to bring us live broadcast for cecafa senior challenge cup 2017.
323b66197561edaffefd4f155559793f.jpg

wasee wa hasira ruksa kutoa povu.hapa kazi tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
meanwhile azam tv crew from tz is already in machakos to bring us live broadcast for cecafa senior challenge cup 2017.
323b66197561edaffefd4f155559793f.jpg

wasee wa hasira ruksa kutoa povu.hapa kazi tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa hii stadium gani kuhost International tournament?
Mmeshindwa hata kutuwekea nyasi bandia jamani?
Mbona wakenya mnatutia aibu namna hii?
 
Sasa hii stadium gani kuhost International tournament?
Mmeshindwa hata kutuwekea nyasi bandia jamani?
Mbona wakenya mnatutia aibu namna hii?
shame indeed....hili la viwanja vyao duni nimeliweka kiporo kwa sababu maalum....nitalianzishia special thread baada ya kuanza mashindano ya cecafa.
 
Back
Top Bottom