Ashakuambia difference kati ya sgr na tazara hiyo yenu mnayoita sgr pia. Ni kitu gani ngumu sana kuelewa hapo ama ni ubishi ndo mnapenda.Hamkosi sababu kawaida yenu ila mioyoni mwenu mnakili tuko juu zaidi yenu kigumu ni kutamka kwa maneno na vidole, hata roho zenu ngumu zinakiliii hilo
Nilishakuambia maana ya povu hapo juu. showing us pictures of Kibera won't change the fact that you live in an LDC!povu jingi sana hili.[emoji23]
karibu sana manzi wangu wa kikenya.[emoji23]Good morning bby kadoda11,hope you had a billion dreams about me.
Itatukosesha vp usingizi wakati haipo😀😀😀😀Hii pinacle inawakosesha sana usingizi. mlionyeshwa concrete mixer mkashikwa na kiwewe hadi mkabadilisha lugha eti wacha tuone first floor ikijengwa. my friend, it will pierce the african skyline 300 meters high and 70 floors tall! Number mtazidi kuisoma
New nyamagana stadium mwanza
Look for yourself who started owning this things from the first timetazara is not SGR. 1067mm is not 1435mm
Hili ni Kanisa?
Sijui kwann wakenya hawana mishipa ya aibu hvi hio gari moshi ndio yakujisifu nayo hapa badala ya kuskitika wachina wamewanyoosha na deni juu😀😀😀😀Look for yourself who started owning this things from the first time View attachment 641519
Still waiting for residential estates za Dar......11 months later.........
Asante kwa kukubali kwamba hamna estates. Tunapenda watu kama wewe who speak the truth. And what did you mean by 'apartments ambazo ziko kwenye towers'? So wewe unaishi TPA tower ama what exactly do you mean?In Dar its mainly Apartments..ambazo ziko kwenye towers ..hizo residential estate ..its not our type of thing ..but go and google
-Dar Villas
-Mlimani Villas
-Avic Town
-Dege Eco Village
-Mwongozo Beach Estate
Hizo ni mfano na ziko estate nying sana kigambon na nyngne chanika ..tatizo lenu mmekariri mnataka muone estate kila sehemu
Hapana, ni TandaleHili ni Kanisa?
Asante kwa kukubali kwamba hamna estates. Tunapenda watu kama wewe who speak the truth. And what did you mean by 'apartments ambazo ziko kwenye towers'? So wewe unaishi TPA tower ama what exactly do you mean?
Sasa hii stadium gani kuhost International tournament?meanwhile azam tv crew from tz is already in machakos to bring us live broadcast for cecafa senior challenge cup 2017.
![]()
wasee wa hasira ruksa kutoa povu.hapa kazi tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
shame indeed....hili la viwanja vyao duni nimeliweka kiporo kwa sababu maalum....nitalianzishia special thread baada ya kuanza mashindano ya cecafa.Sasa hii stadium gani kuhost International tournament?
Mmeshindwa hata kutuwekea nyasi bandia jamani?
Mbona wakenya mnatutia aibu namna hii?