Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuendesha ma bus ya BRT imewashinda mpaka imebidi waombe usaidizi kutoka kwa kampuni ya Dubai (ENG), yani kitu ambacho kampuni private ya Kenya inaweza kufanya imeishinda serikali ya Tanzania. Alafu utarajie wanaweza kuendesha biashara ngumu kama ya Aviation. Bandari pia nayo imewashinda washaanza kuuza gati moja baada ya nyingine😃😃
IMG_20240328_192659.jpg

 
Kuendesha ma bus ya BRT imewashinda mpaka imebidi waombe usaidizi kutoka kwa kampuni ya Dubai (ENG), yani kitu ambacho kampuni private ya Kenya inaweza kufanya imeishinda serikali ya Tanzania. Alafu utarajie wanaweza kuendesha biashara ngumu kama ya Avation. Bandari pia nayo imewashinda washaanza kuuza gati moja baada ya nyingine😃😃View attachment 2947458
Kwani aliekwambia serekali ndio ilikua inaendeshwa hio mradi ni Nani??😂😂😂
Hapo katafutwa mwendeshaji mwengine aliekuwepo Kwanza kashindwa anapewa mwengine chizi wewe, serekali haifanyi KAZI hio
 
Kuendesha ma bus ya BRT imewashinda mpaka imebidi waombe usaidizi kutoka kwa kampuni ya Dubai (ENG), yani kitu ambacho kampuni private ya Kenya inaweza kufanya imeishinda serikali ya Tanzania. Alafu utarajie wanaweza kuendesha biashara ngumu kama ya Avation. Bandari pia nayo imewashinda washaanza kuuza gati moja baada ya nyingine😃😃View attachment 2947458

This? 👇


Kenyas-plan-for-BRT-system-gains-pace.jpg


Japo sisupport huu upuzi wa saiz, kila kitu Dubai
 
Back
Top Bottom