Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

JW Marriott
a22-jpg.6956799
a24-jpg.6956800
a15-jpg.6956806
a20-jpg.6956810
a21-jpg.6956811
a28-jpg.6956803
Look Good Hongera, ila make sure nyie wote humu kila mwezi mnaenda kula hapo, sio kutuonesha picha na hata hamkanyagi hapo, na kutuonesha risiti from dustbin.
 
Nyerere aliwahi sema
"Ukimtukana mtu kwa lugha ya kiafrika tusi linaingia kweli kweli, ila ukimtukana kwa Kizungu Tusi linakua kama halijaingia"

Ndio sababu kuu hawa ndugu zetu wanakumbatia kizungu, kina adjectives nyingi cha kupamba upumbavu.

Jaribu kusifia jeshi lao kwa Kiswahili, jaribu kusifia kitu chao kwa lugha zao za kikabila weee.

Surprisingly Bongo tunaweza sifia kwa Kiswahili na sifa ikapenya.
 
Nyerere aliwahi sema
"Ukimtukana mtu kwa lugha ya kiafrika tusi linaingia kweli kweli, ila ukimtukana kwa Kizungu Tusi linakua kama halijaingia"

Ndio sababu kuu hawa ndugu zetu wanakumbatia kizungu, kina adjectives nyingi cha kupamba upumbavu.

Jaribu kusifia jeshi lao kwa Kiswahili, jaribu kusifia kitu chao kwa lugha zao za kikabila weee.

Surprisingly Bongo tunaweza sifia kwa Kiswahili na sifa ikapenya.
Usijifanye hujaona jibu langu.
 
Hizo ni insecurities zenu. Mbona Uganda wasilalamike?

1. EAC ilivunjwa kisa hakukuwa na maelewano. Huwezi laumu Kenya wakati kutoelewana kulitokea pande zote. Hatukuiba ndege, tulichukua ndege kulingana na shares tulizokuwa nazo. Kwa East African Airways, Kenya ilikuwa na 67.7% shares Tanganyika ikawa na 9% Uganda 22.6% na Zanzibar 0.7%. Ulitegemea tugawane visawa wakati sisi tuna shares nyingi? Cha kushangaza, Waganda ambao walikua na shares nyingi kumshinda hawalalamiki ni nyinyi tu kisa mmeaminishwa na wanasiasa wenu na chuki zenu.

2. Maandamano ya EACOP hayakufanywa na Wakenya, yalifanywa na watetezi wa mazingira. Yalifanyika UK na France. Tena wanasiasa wenu wamemuaminisha ni Kenya. Shida yenu hamuelewi jinsi ulimwengu unavyosonga. Kwa nchi zilizo na uhuru wa kujieleza huwezi jenga mradi wa kiwango hicho na kusikuwe na maandamano ya watetezi wa Mazingira - hapa Kenya kabla SGR ijengwa kulikuwa na maandamano - same na Thika road, Expressway n.k. Miaka ya 1990s, Moi alitaka kujenga jengo refu zaidi Afrika pale Uhuru Park la gorofa 70, wanaharakati waliandamana hadi hilo jengo halikujengwa. The same Moi alitaka kukata misitu wa Karura na Ngong iliyoko Nairobi ili kujengwe majengwa, wanaharakati wakiongozwa na Hayati Pro. Wangari Maathai waliandamana hadi wakapinga na Wangari Maathai alipata Nobel Prize juu ya hayo na akawa mwanamke wa kwanza Afrika kupata tuzo hilo.

3. Sijui unamaanisha nini na kupotosha ukweli. Shida yenu huwa hampendi kukubali ukweli alafu kila kitu mtalaumu Wakenya, sijui mna akili za kitoto ama vipi. World Bank ikitoa ripoti isema Tanzania ni bora kuliko Kenya kwa sector fulani, mtashangilia kila mahali hadi kwa socia media ndio kitu mtaongelea. The same World Bank ikitoa repoti eti Kenya ni bora kwa Tanzania kwa lingine mnaanza eti ooh Wakenya wanapotosha ukweli, ooh wanacook figures waonekane bora kutushinda. Yani huwa mnatia huruma sana.


Wee mwenyewe ukichunguza vizuri kwenye huu uzi walio na chuki ni kina nani? Saa hii tunabanter ni nchi gani itakuwa more prepared for AFCON ila wakati zetu ni banter tu, kwenu ni full chuki hadi mnaomba tukuwe banned ama tusiwe na uwezo wa kuandaa.
Good point mzee. Ila Hapo moja unatupanga wewe.

1. Kwamba tulikua na 9% Share? Nchi ambayo that time ilikua na Influence kubwa Afrika, Global South (NAM) mpaka kupatia uhuru nchi za Southern Africa?

2. Hapo mbili napo
Screenshot_20220327-203358_1.jpg

Screenshot_2024-03-28-12-10-50-274_com.android.chrome.jpg


3. Kupotosha ukweli mzee kuanzia Mlima Kilimanjaro, Olduvai George, Wasanii wetu nani asiyejua wazee wa kusema kila kitu chetu kizuri ni chenu huko Ughaibuni?

4. Shida zenu batter zimejaa uongo mwingi na sifa za kiwaki, mtu kama Teargas unaona anatumia akili hapo kusema eti hatuwezi afford drone?

Banter zenu at least zireflect hali halisi sio uongo mwingi,.mfano banter za KDF, inakuaje na adjectives nyingi wakati nji haikaliki huko baringo na mandela.
 
Arusha Medivac Ltd


P.O Box 10906,Arusha,Tanzania.
Tel: +255784349219 +255767996996
E-mail:
jack@arushamedivac.org
info@arushamedivac.org

1711617438495.png
 
Look Good Hongera, ila make sure nyie wote humu kila mwezi mnaenda kula hapo, sio kutuonesha picha na hata hamkanyagi hapo, na kutuonesha risiti from dustbin.
Mimi nina uwezo wa kula hapa nikitaka na najua kuna wengu humu wana huo uwezo, hilo sio shaka ila nashangaa mbona huwa huambii wenzako wabongo humu wakituonyesha picha za mahoteli na ndege na vinginevyo, mbona huwa huwaambii wasipost tu kama hawakanyagi hapo? Uache unafiki.
 
Mimi nina uwezo wa kula hapa nikitaka na najua kuna wengu humu wana huo uwezo, hilo sio shaka ila nashangaa mbona huwa huambii wenzako wabongo humu wakituonyesha picha za mahoteli na ndege na vinginevyo, mbona huwa huwaambii wasipost tu kama hawakanyagi hapo? Uache unafiki.
Well sababu tunaweza kwenda simple as that, nyie huku kuna kubaguana kwingi.
 
Good point mzee. Ila Hapo moja unatupanga wewe.

1. Kwamba tulikua na 9% Share? Nchi ambayo that time ilikua na Influence kubwa Afrika, Global South (NAM) mpaka kupatia uhuru nchi za Southern Africa?
Broo, tunaongelea shirika la ndege la EAA. Hilo linahusikanaje na influence unayodhania mlikuwa nayo Kusini mwa Afrika? Kwamba mkipea nchi za Southern Africa uhuru shares zenu zinaongezeka ama unamaanisha nini? Reasoning ya upuzi kama hii naexpect itoke kwa wajinga kama Venus Star ama Toilet boy sio kwako.

Huyo ni Mkenya mmoja na sio Wakenya. Mkenya wa kawaida hana shughuli na yanayofanyika Tanzania. Kumbuka kwamba pia media zenu zinapenda kueneza chuki dhidi ya Kenya ndio maana Jamii Forums imechagua kutaja jina la huyo Mkenya na uraia wake wakati hao wengine hawajatajwa. La pili nikisoma kwa media zote kuu duniani hakuna penye huyo Mkenya ametajwa kama kiongozi wa hayo maandamano. Wanaopotosha ulimwengu ni nyinyi, sio sisi.

3. Kupotosha ukweli mzee kuanzia Mlima Kilimanjaro, Olduvai George, Wasanii wetu nani asiyejua wazee wa kusema kila kitu chetu kizuri ni chenu huko Ughaibuni?
Hakuna mahali Wakenya wamesema mlima kilimanjaro uko Kenya. Hakuna msanii wenu ambaye tumesema ni wetu. Hapo kwa Olduvai ni mtoto wa Raila Odinga aliyesema ipo Kenya kimakosa na akakikiri ilikuwa juu ya kutojua ila mmeikwamilia kama gundi. Mlima Kilimajaro unaonekana ukiwa Kenya kuanzia Nairobi Hadi Voi. Uko na views nzuri zaidi ukitazamwa ukiwa mbuga ya Amboseli. (Leo hii naenda zangu Amboseli, ukitaka naweza kupigia picha uone.) Picha nyingi za huo mlima zimepigwa Amboseli na zimepigwa na Watalii wasio raia wa Kenya. Hao Watalii walisambaza hizo picha huko kwao na wakasema zimepigwa Amboseli Kenya (Which is true). Kutokana na hilo, wengi walijua Mlima Kilimanjaro uko Kenya ila sio kwa sababu Wakenya wamepotosha. Hapo kwa wasanii ndio kicheko zaidi. Hivi msanii mgani wa Tanzania tuliyesema ni wetu? Kwani sisi hatuna Wasanii wetu tuseme wenu ni wetu? Acha kunifurahisha bro. 🤣 🤣


4. Shida zenu batter zimejaa uongo mwingi na sifa za kiwaki, mtu kama Teargas unaona anatumia akili hapo kusema eti hatuwezi afford drone?
Uongo gani? Nani anayesema humu nchi yao ina GDP ya $300B wakati ni $84 Billion? Nani humu anasema hatuna uwezo wa kununua gari mpya wakati Kenya ndio the biggest buyers of new cars in East Africa? Nani humu anasema hapati msaada wakatio anapata msaada kila mwaka? Shida yenu sisi tukileta evidence mnasema ni cooked wakati nyinyi mnasema mambo bila hata evidence.

Banter zenu at least zireflect hali halisi sio uongo mwingi,.mfano banter za KDF, inakuaje na adjectives nyingi wakati nji haikaliki huko baringo na mandela.
Hizi za kusema nyinyi ndio nchi tajiri duniani ndio zinareflect hali halisi? Hizi za kusema mnatulisha ndio zinareflect hali halisi? Hizi za kusema bandari ya Dar inahandle cargo nyingi kuliko mombasa ndio hali halisi? Hizi za kusema electricity connection yenu iko juu ya yetu ndio hali halisi? Kama kuna watu wanoishi kwa delusions hii Africa ni nyinyi bro.🤣🤣
 
Well sababu tunaweza kwenda simple as that, nyie huku kuna kubaguana kwingi.
Broo, kuenda hoteli ya kifahari na kubaguana wapi na wapi? Ukiwa na pesa utaingia hoteli yoyote ya kifahari. Unaona jinsi banter zenu zilivyojaa chuki ndani yake?

La pili unasema nyinyi wote mnaweza enda 5* hotel? Alafu bado unasema banter zenu zinaonyesha hali halisi ilivyo? Huoni kama unajikanganya? Kama nchi tajiri kama Marekani sio wote wanaoweza kuingia 5* hotel wakakula sasa fukara kama Tanzania wanaweza? Huoni aibu kusema haya after kuniambia eti banter zenu zinaonyesha hali halisia? Kenya kuna wapandaji ndege wengi kuliko Tanzania mara nyingi yet most Kenyans can't afford to use air transport halafu hapo Tanzania kwenye mnacheza catch up unaniambia wote wana uwezo? Wacha unafiki bro.
 
Good point mzee. Ila Hapo moja unatupanga wewe.

1. Kwamba tulikua na 9% Share? Nchi ambayo that time ilikua na Influence kubwa Afrika, Global South (NAM) mpaka kupatia uhuru nchi za Southern Africa?

2. Hapo mbili napo
View attachment 2946763
View attachment 2946760

3. Kupotosha ukweli mzee kuanzia Mlima Kilimanjaro, Olduvai George, Wasanii wetu nani asiyejua wazee wa kusema kila kitu chetu kizuri ni chenu huko Ughaibuni?

4. Shida zenu batter zimejaa uongo mwingi na sifa za kiwaki, mtu kama Teargas unaona anatumia akili hapo kusema eti hatuwezi afford drone?

Banter zenu at least zireflect hali halisi sio uongo mwingi,.mfano banter za KDF, inakuaje na adjectives nyingi wakati nji haikaliki huko baringo na mandela.
Bomba la mafuta liliwauma Sana Kias kwamba serekali yao ikawatuma eti washawishi Bomba lisijengwe kwasababu wamejawa na Wivu roho mbaya, haya kiko wapi mradi unajengwa na hautasimama na umeajiri watanzania wengi na investment kubwa ya bomba itapita Tanzania na Tanzania itanufaika sana sana kwa mradi huu over 3.5b usd imewauma sana sana 😂😂😂
 
Back
Top Bottom