Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee usitupange wewe, toka mvunje EAC, kuiba ndege, Kuandamana kida EACOP isijengwe, kupotosha ukweli wa vitu vya TZ ili muonekane mko vizuri. Hizo ni banter?
Wanapotosha Uma gani zaidi ya wanajidanganya wenyewe kama MTU Yuko tayar kufa njaa ili aonekane ana maisha mazuri na hata sijui Wana laana gani hawa

Mkenya ukimpa dakika mbili ya kumsikiliza Unaeza sema hawa jamaa wako level moja na Singapore kumbe SASA ni kwangu pakavu Tia mchuzi
 
Regional Air Services

CONTACT US

P.O.Box 14755‚ Arusha‚ Tanzania
SABLE SQUARE‚ NGARAMTONI CHINI
RESERVATIONS
email:resvns@regional.co.tz
Mobile: +255 675 285 753 / 754 285 754.
Skype: regionalair.reservations
OPERATIONS
email : ops@regional.co.tz
Mobile: +255 678 621 102 / 753 500 300
Skype: regionalair.operations

1711614705291.png
 
Mzee usitupange wewe, toka mvunje EAC, kuiba ndege, Kuandamana kida EACOP isijengwe, kupotosha ukweli wa vitu vya TZ ili muonekane mko vizuri. Hizo ni banter?
Hizo ni insecurities zenu. Mbona Uganda wasilalamike?

1. EAC ilivunjwa kisa hakukuwa na maelewano. Huwezi laumu Kenya wakati kutoelewana kulitokea pande zote. Hatukuiba ndege, tulichukua ndege kulingana na shares tulizokuwa nazo. Kwa East African Airways, Kenya ilikuwa na 67.7% shares Tanganyika ikawa na 9% Uganda 22.6% na Zanzibar 0.7%. Ulitegemea tugawane visawa wakati sisi tuna shares nyingi? Cha kushangaza, Waganda ambao walikua na shares nyingi kumshinda hawalalamiki ni nyinyi tu kisa mmeaminishwa na wanasiasa wenu na chuki zenu.

2. Maandamano ya EACOP hayakufanywa na Wakenya, yalifanywa na watetezi wa mazingira. Yalifanyika UK na France. Tena wanasiasa wenu wamemuaminisha ni Kenya. Shida yenu hamuelewi jinsi ulimwengu unavyosonga. Kwa nchi zilizo na uhuru wa kujieleza huwezi jenga mradi wa kiwango hicho na kusikuwe na maandamano ya watetezi wa Mazingira - hapa Kenya kabla SGR ijengwa kulikuwa na maandamano - same na Thika road, Expressway n.k. Miaka ya 1990s, Moi alitaka kujenga jengo refu zaidi Afrika pale Uhuru Park la gorofa 70, wanaharakati waliandamana hadi hilo jengo halikujengwa. The same Moi alitaka kukata misitu wa Karura na Ngong iliyoko Nairobi ili kujengwe majengwa, wanaharakati wakiongozwa na Hayati Pro. Wangari Maathai waliandamana hadi wakapinga na Wangari Maathai alipata Nobel Prize juu ya hayo na akawa mwanamke wa kwanza Afrika kupata tuzo hilo.

3. Sijui unamaanisha nini na kupotosha ukweli. Shida yenu huwa hampendi kukubali ukweli alafu kila kitu mtalaumu Wakenya, sijui mna akili za kitoto ama vipi. World Bank ikitoa ripoti isema Tanzania ni bora kuliko Kenya kwa sector fulani, mtashangilia kila mahali hadi kwa socia media ndio kitu mtaongelea. The same World Bank ikitoa repoti eti Kenya ni bora kwa Tanzania kwa lingine mnaanza eti ooh Wakenya wanapotosha ukweli, ooh wanacook figures waonekane bora kutushinda. Yani huwa mnatia huruma sana.


Wee mwenyewe ukichunguza vizuri kwenye huu uzi walio na chuki ni kina nani? Saa hii tunabanter ni nchi gani itakuwa more prepared for AFCON ila wakati zetu ni banter tu, kwenu ni full chuki hadi mnaomba tukuwe banned ama tusiwe na uwezo wa kuandaa.
 
Hizo ni insecurities zenu. Mbona Uganda wasilalamike?

1. EAC ilivunjwa kisa hakukuwa na maelewano. Huwezi laumu Kenya wakati kutoelewana kulitokea pande zote. Hatukuiba ndege, tulichukua ndege kulingana na shares tulizokuwa nazo. Kwa East African Airways, Kenya ilikuwa na 67.7% shares Tanganyika ikawa na 9% Uganda 22.6% na Zanzibar 0.7%. Ulitegemea tugawane visawa wakati sisi tuna shares nyingi? Cha kushangaza, Waganda ambao walikua na shares nyingi kumshinda hawalalamiki ni nyinyi tu kisa mmeaminishwa na wanasiasa wenu na chuki zenu.

2. Maandamano ya EACOP hayakufanywa na Wakenya, yalifanywa na watetezi wa mazingira. Yalifanyika UK na France. Tena wanasiasa wenu wamemuaminisha ni Kenya. Shida yenu hamuelewi jinsi ulimwengu unavyosonga. Kwa nchi zilizo na uhuru wa kujieleza huwezi jenga mradi wa kiwango hicho na kusikuwa na maandamano ya watetezi wa Mazingira - hapa Kenya kabla SGR ijengwa kulikuwa na maandamano - same na Thika road, EXpressway n.k.

3. Sijui unamaanisha nini na kupotosha ukweli. Shida yenu huwa hampendi kukubali ukweli alafu kila kitu mtalaumu Wakenya, sijui mna akili za kitoto ama vipi. World Bank ikitoa ripoti isema Tanzania ni bora kuliko Kenya kwa sector fulani, mtashangilia kila mahali hadi kwa socia media ndio kitu mtaongelea. The same World Bank ikitoa repoti eti Kenya ni bora kwa Tanzania kwa lingine mnaanza eti ooh Wakenya wanapotosha ukweli, ooh wanacook figures waonekane bora kutushinda. Yani huwa mnatia huruma sana.


Wee mwenyewe ukichunguza vizuri kwenye huu uzi walio na chuki ni kina nani? Saa hii tunabanter ni nchi gani itakuwa more prepared for AFCON ila wakati zetu ni banter tu, kwenu ni full chuki hadi mnaomba tukuwe banned ama tusiwe na uwezo wa kuandaa.
Nanusa Harufu ya ChatGPT hapa 🤣 🤣 🤣 🤣 👆👆👆
 
Back
Top Bottom