KOMANDO YOSO
JF-Expert Member
- Sep 7, 2023
- 819
- 2,864
Wajinga wale awahisi moshi yaan kama sigara au bhangikwani linangua au nini kinaungua ndani huko hawaoni hatari abiria waliopanda?😀😀
Wajinga wale awahisi moshi yaan kama sigara au bhangikwani linangua au nini kinaungua ndani huko hawaoni hatari abiria waliopanda?😀😀
Leta official source kua imetengeza faida hapa nifunge ACC SASA hvi 🤣🤣🤣🤣🤣ichoboy01 ATCL ishaitengeneza faida?
Sama boy 255 Unaiona Mbeya lakini?
View: https://twitter.com/MwanaspotiTZ/status/1772185595260862640?t=ndWQ5HhhhgFcis_8BV-edw&s=19View attachment 2944256
Mbeya ni Mkoa wa watu wenye akili,vipaji,wachapa kazi na watata ,Huwa hatupelekeshwi kindezi.
KBS inafanya kazi gani au ni Kula rushwa Tu😁
Failed state
View: https://twitter.com/citizentvkenya/status/1772329609758937295?t=XksyjbN8_R-8q7NRnZoh0Q&s=19
Zote nipo,kwani wewe unanionaje hapa Jukwaani?Naomba kuuliza.
Kwenye hizo sifa ulizotaja za watu wa mbeya.. wew una kipi kimoja wapo?
Kwani mnasave chini ya mattress?
Siku mkiwa na Electric Railway tutaacha kuwaita KundustanKwani mnasave chini ya mattress?
Juu bank zenu ni maskini!
Hvi tunavoongea iko njian washaondoka America wanaingia hapa Saa nne asbhIla sisi bhana tunasifa sana, eti kesho tunapokea mwewe, halafu tunapumzika then tunaleta tena joka tarehe 28 😂😂 Sisi tuna sifa kweli.
Eti kisa jirani amekula mafuriko na sisi tukaamua eti tutangaze leo kwamba tunavunja nyumba zote kando ya msimbazi ili tujenge na daraja kubwa na tupanue mto. 😂😂 Sisi tuna sifa sana
Leta ushahidi kua bank za Tanzania ni maskini, hvi ww hind brain yako iko ndani ya kichogo au?? 😄Kwani mnasave chini ya mattress?
Juu bank zenu ni maskini!