Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Volvo new model 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙌🙌🙌
20240325_123805.jpg
 
Na mm ndivyo nnavyojua hivyo, huku mtaani kwetu ukimuomba mtu pesa akakujibu "kama kenya mwanangu" ujue hapo anamaanisha hana kitu ni njaa tu.
Wakenya wenye ksh laki moja bank wapo 1.9M, je hawa wa humu ni kati ya wakenya wenye ksh laki moja bank?
Badala wakatafute pesa wapo humu kulazimisha mambo. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom