Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mongolia kumbe ni position 190 out of 210. No wonder Leo Tanzania wameshinda mechi.

IMG_0126.jpeg
 
Heheheee cjui Nicxie atapata wapi picha za kujifariji mana tunabomoa uswazi wote wa Msimbazi, wao bado wapo na ma slums yao yanayozidi kunawiri cku hadi siku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unajifariji ukiwa wapi wakati Dar nzima ni uswazi?
images - 2024-02-05T210932.106.jpeg

images - 2024-02-06T145416.927.jpeg

Sisi hiyo safari tulianza kitambo sana.

Hizi hapa ni miradi ya mukuru kwa Njenga
images - 2024-02-10T145337.461.jpeg
images - 2024-02-10T145244.249.jpeg
 
img_4632-jpeg.2943923


screenshots_2024-01-11-17-49-38-png.2943924


Whoever designed hivi vibanda vya phase II (chini) anatakiwa kufungwa, ona tofauti na vile vya phase I (juu). Na hii kampuni ya kichina nayo imeripua sana hii phase II. Watanzania "tumezoea" standard ya juu bana.
Mara kadhaa Huwa nawadharau sana hao watu wenu wa TanRoads Wana akili za kushikiwa,wasipostuliwa Huwa hawawezi kujiongeza kama manyumbu 😁😁

Kuna Uzi nimewahi andika kuwaponda huko majukwaa mengine.
 
Back
Top Bottom