Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,626
Halafu nilisikia wanaenda haiti,lini wanaanza hiyo safari πJeshi la Instagram Tu π€£π€£, sasa hivi utasikia wamekong'otwa wanalialia humu ππ
Halafu nilisikia wanaenda haiti,lini wanaanza hiyo safari πJeshi la Instagram Tu π€£π€£, sasa hivi utasikia wamekong'otwa wanalialia humu ππ
Habari iko hadi kwenye magazeti, 8 years of failure. π π π π πUnaomba iwe hivyo.? π€£π€£π€£ Pole sana
Hivyo ndivyo mnafundiswa kwenye economics classes? OMG!!!Subiri Kwanza dollar to stablize in Kenya ikishindikana ruto atafute mikopo tena ππ
Nchi imefeli kwenye kila kitu mamaeee
Who own thestar.co.ke ?Sio maneno yangu bongolala.
Ni Kwa mujibu wa Airports Council International
![]()
JKIA, Moi named best airports in Africa in customer service
The awards were based on passenger volumes each airport handled in 2021.www.the-star.co.ke
π€£π€£π€£ Itawachukua miaka zaidi ya 50 kufikia hapa sisi tulipo as far as BRT system is concerned,
Yani kila kitu ni kizungumkuti Tanzania. Kizungu ni kizungumkuti tayari alafu Tena bi ara ti!!π€£π€£π€£Habari iko hadi kwenye magazeti, 8 years of failure. π π π π π
![]()
Dar is a slum ni mashida tupu. π π π π π
View: https://x.com/UziBinUzi/status/1770040138506133604?s=20
The star us a newspaper bongolala. It reports news happening around the world. Taarifa waliopost ni ya Airports Council International.Who own thestar.co.ke ?
Mama Ngina ama.
Yaani mnajiita best nyie wenyewe. Stupid Kenyans.
Unawatch bol ukiwa 1km from the field.Kaa mbali na Tanzania aisee linapokuja suala la designing, hii sasa ndio the most modern stadium in East West and north Africa, kiwanja hiki kilistahili kuhost World Cup kule SA, quality yake ni ya hali ya juu sana πΉπΏπ₯π₯
View attachment 2939307View attachment 2939308View attachment 2939309
1km unaijua wewe?? Au unapanua Hilo toboUnawatch bol ukiwa 1km from the field.
Kumbe unatamani BRt ishindikane.? π€£π€£ Endelea kutamani, sisi tuko busy kuwekeza to the point that hata marekani awepee pesa za bure hamtakaa mtufikie kamwe.Habari iko hadi kwenye magazeti, 8 years of failure. π π π π π
![]()
Dar is a slum ni mashida tupu. π π π π π
View: https://x.com/UziBinUzi/status/1770040138506133604?s=20
Huyo primary school dropout hajui how the media works na tuko 2024. π πThe star us a newspaper bongolala. It reports news happening around the world. Taarifa waliopost ni ya Airports Council International.
yaani wenzetu wana import second hand cars from sauz africa. Basi pia haikosi mna import from Kenya π
View: https://www.instagram.com/reel/C4uV5XRtLvX/?igsh=MWVweHB5dWxzaXowbA==