Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

TUMIA AKILI ...trains can be changed anytime...the rail will stay for hundreds of years...punguza wivu pia...ama utuoneshe hio yenu ya umeme😀😀😀😀leta picha tuone😀😀
Deni la watu hamujalipa munawaza electric train😀😀
Nasafarii hii mchina kawashika kwenye makende😛
 
northern Kenya yote ni kavu...tz on the other hand, is not...ila tumewashinda kiuchumi...inatia aibu sana jinsi mlivo barikiwa na rasilimali aina mbali mbali ila mpo tu LDC...yaani tofauti ynu na DRC hamna
That was the past.. Corruption and all that.. Lakini sasa HV tuna Magufuli wait 2025 mdomo utakuanguka sababu sasahv nchi za EA karibia zote zimeibana Kenya haina pakutokea.. Ndomaana Uhuru anaanza kusema yoyote anaetaka kwnd Kenya aende.. HATUJI NG'OO unataka tufanywe km Wafuasi Wa Raila
 
d000fff54e49c9139f0386f1e77a8064.jpg

fala flani nimemuitisha picha za reli akaniletea hii hapa...jamaa karibu kumi wanajifunza kutumia nyundo na msumari
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
That was the past.. Corruption and all that.. Lakini sasa HV tuna Magufuli wait 2025 mdomo utakuanguka sababu sasahv nchi za EA karibia zote zimeibana Kenya haina pakutokea.. Ndomaana Uhuru anaanza kusema yoyote anaetaka kwnd Kenya aende.. HATUJI NG'OO unataka tufanywe km Wafuasi Wa Raila
East Africa sio watz pekee...mbona una kurupuka?
emoji23.png
emoji23.png
..mje msije kuna waafrika mashariki wengine wamejaa huku
emoji23.png
emoji23.png
nyie kaeni huko mpambane na umaskini
 
Sometimes nachukia viziara uchwara kwann hawajiamini ?
Baba saiv sio poa wanalala kwny vitanda vya Kamba ili wasije wakapitiliza usingz.. Sema hawana jinsi media ziko nyuma yao kila wanachofny lzm kirekodiwe
 
Tofauti kati ya Tz na Kenya ni watu kama 5m tu,
Halafu asikudanganye Mtu, Kenya sio kavu, isipokuwa ardhi yote arable mmenyang'anywa na wazungu na wanasiasa akiwepo rais wenu huyo Mkora Uhuru,
Hebu fikiria Familia ya Kenyatta inamiliki ekari 500,000,
The Kenyatta Family Land Enough To Settle 20 Million Kenyans
You guys mngechagua Raila angewasaidi walau kujinasua kwenye huu mtego wa wakikuyu, hamtatoka hapo milele.
hebu tuonyeshe hiyo Kenyatta family land
 
Ahead of gari moshi???? Serious😀😀😀
Nilifkiri mutaeka history kwenye SGR kumbe mumeenda kurudisha train za 80s ama kweli aliweroga kafa
Weka hapa ya Tz 2017 tulinganishe na ya Kenya 1980.
 
View attachment 640533
Hii nimepiga Jana ikitokea njia ya Monduli Arusha ikielekea Kenya kupeleka chakula , apo imebeba viungo (vitunguu maji) kuhakikisha wageni wanao ingia Kenya wanapata CHAKULA safi kutoka Tanzania

Nawauliza wa Kenya how long Tanzania will spoon feed you mpate akili ya kujituma kufanya kazi KULIKO kushinda bustani za Nairobi na envelope za kaki
huwa ni msaada au ni biashara inafanyika?
 
d000fff54e49c9139f0386f1e77a8064.jpg

fala flani nimemuitisha picha za reli akaniletea hii hapa...jamaa karibu kumi wanajifunza kutumia nyundo na msumari
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Kumbe Kenya illiteracy rate ni kubwa kiasi hili Aibu kubwa.. Haya hujui kusoma hata picha huoniii?? Uje nikufundishe Kiswahili ndugu unatia aibu
 
View attachment 640533
Hii nimepiga Jana ikitokea njia ya Monduli Arusha ikielekea Kenya kupeleka chakula , apo imebeba viungo (vitunguu maji) kuhakikisha wageni wanao ingia Kenya wanapata CHAKULA safi kutoka Tanzania

Nawauliza wa Kenya how long Tanzania will spoon feed you mpate akili ya kujituma kufanya kazi KULIKO kushinda bustani za Nairobi na envelope za kaki
Ni chakula cha msaada ama ni cha kuwauzia waKenya?
 
Back
Top Bottom