Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I was responding to your fellow kilaza who asked what a "Hiace" vehicle is doing in town.

Later he said that's a long time ago(2006) na eti Kwa sasa haziko Dar. To prove to him that he was wrong I showed him pictures of those vehicles alongside brt buses ndio nikamuuliza kama 2006 mlikuwa na brt. Umesikia Mahali huu mjadala ulianzia kenge?
Wewe ni mpumbavu haswaa, we jamaa umeambiwa hiace au vipanya vilishapigwa marufuku kuja mjini, sasa kwenye zile picha ulipost zikionekana brt lanes zile ni hiace au vipanya.?
 
Hawa watu wanapenda ubishi za kijinga sana. Since when did Nissan start manufacturing Hiace vehicles? Ama Toyota waliwauzia hiyo trademark na Sina habari?!
Hao wanajua ati any passengers van ni Toyota Hiace.
 
Mm hata simuelew sijui kalewa Huyo maana eti kwenye picha aliopost haoni hiace mayb anaona nganya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bongolala, hakuna siku Nissan imewahitengeneza brand inaitwa Hiace. Hiace ni production ya Toyota. The vehicle in the picture I posted ni Nissan, not a Toyota. Mbona mambo rahisi mnaweka ubishi za kijinga?
 
Ben mkapa stadium — ready for the opening and the AFCON 2027 Finals
 

Attachments

  • 3DD09168-E39A-44B9-9424-F33CFD537EE1.jpeg
    3DD09168-E39A-44B9-9424-F33CFD537EE1.jpeg
    68.2 KB · Views: 8
  • 66F54DBE-ECDE-43B5-925A-1C679E3FBF76.jpeg
    66F54DBE-ECDE-43B5-925A-1C679E3FBF76.jpeg
    58.3 KB · Views: 6
  • B4F553D5-A563-498A-911C-35293A7A5E88.jpeg
    B4F553D5-A563-498A-911C-35293A7A5E88.jpeg
    86.6 KB · Views: 13
  • D2D5EE19-A19C-48FA-9D8B-68A8C39110B2.jpeg
    D2D5EE19-A19C-48FA-9D8B-68A8C39110B2.jpeg
    146.6 KB · Views: 14
  • CA67BCC9-FE18-4927-81A5-3537932EB4B6.jpeg
    CA67BCC9-FE18-4927-81A5-3537932EB4B6.jpeg
    235.1 KB · Views: 6
  • 66797D06-374E-44A3-8C39-D419CEEDD589.jpeg
    66797D06-374E-44A3-8C39-D419CEEDD589.jpeg
    179.5 KB · Views: 8
Back
Top Bottom