Mumepigwa kama mlivyopigwa kwenye Sgr ya kuwasha na mkaa 🤣🤣🤣
uwanja umezungukwa na mende kila kona!
Hebu jaribu kuona aibu😎
Wewe ushaikula hata pizza? Ama unaongea tu?Huwezi linganisha maandazi na pizza nyie wanuka mavi.
Tuta, ita, wata ×2So, running track tu ndo inakupa orgasm? Mbona nyinyi wakenya hamna akili namna hii? Mnavipa umuhimu vitu vidogovidogo ambavyo havina mpango wowote na serikali yenu ikaingia mkenge, football stadium zisizo na running tracks huku kwetu zitajengwa na Simba na Yanga mana hizo ni club za mpira wa miguu, na tayari Yanga wameshaanza, so, na nyie ilipaswa football clubs zenu ndiyo zijenge stadiums zisizo na running tracks, tutawafunza kwa vitendo tuone kati yenu na sisi nani mwenye elimu bora.
Uko sure? 😂😂😂Tanzania inajenga 1500km of SGR hvi tunavoongea nyinyi yenu iliishiwa wapi naivasha maporini 🤣🤣🤣 over 3 yrs Leo hakuna treni ilishatembea kutoka nairobi kwenda naivasha
SGR ya Tanzania imefika 10 yrs?🤣🤣🤣🤣🤣
Haya tuoneshe ndege ilionunulia na Kenya airways B787 maana tunavojua Sisi
17 aircrafts loan
20 za kukodiaha
3 owned by kq na tena chakavu 🤣🤣🤣🤣
Kwani pinnacle na montave haikua same story??😅😅😅😅 Munaumizwa na maendeleo ya Tanzania mafedhuli nyinyi
Hahahaha… after reading about Arusha toy stadium, this the final conclusion… hakuna competition hapa…🤣🤣
View attachment 2939502
Hili basin la kuogea halina modernity yoyote lipo dull and so basic halina futuristic characters zozote limepooza kama uji wa mgonjwa
Wakenya wanataka kujua cost ya talanta mpaka Leo hawajui🤣🤣🤣🤣🤣
Wanaogopa Kesho kuja kuskia ili cost 150b ksh
View: https://twitter.com/EricNjiiru/status/1770111514894074128?t=gQ6r7dHjC2TIGYdTU7sy3w&s=19