ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Maneno ya maumivu yamewaanza SASA🤣🤣i am sure tz had no plans of building that stadium trust me...lol.They had to gather some chinese real quick
Maneno ya maumivu yamewaanza SASA🤣🤣i am sure tz had no plans of building that stadium trust me...lol.They had to gather some chinese real quick
Coastal Kenya is pulling some boss moves walahi...
View: https://youtu.be/vxBCbMcuj1Y?si=cJI3n-6k5bPzI5B4
Bro, we are building a world class Football stadium of 60k capacity, how can we be jealous of a random 30k capacity stadium with ugly racetracks whose construction hasn't even began? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Kawivu huanza polepole…
Mmewahi kujua kuwa uwanja wa Kenya hauna picha zaidi ya hiyoKama Bernabeu mwanangu ❤️❤️😘😍🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥....
On the other hand, Talanta stadium 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2939089
View attachment 2939093
Hio ni horse alaf trailer hii hapa🤣🤣👇
The EAC most beautiful and stete of the Art Stadeum which is also used as a museum 🔥🔥🔥Dah ila huu uwanja ni balaa, alie design hii kitu Big shout out kwake. Hii ni mwana ukome View attachment 2939145View attachment 2939146View attachment 2939147itawachukua miaka mingi mno hawa wanuka mavi kupata facility nzuri ka hii
Haufai hata ku host mashindano,wanatuaibisha sana Hawa punguani ilitakiwa tuandae AfCoN peke yetu 🤣🤣
Uwanja kama huu wenye running track kwa mkoa wa Arusha ni kitu kizuri sana. Umekaa kimkakati sana, hasa katika masuala ya utalii. Msishangae kuona international sports nyingi zinazoshirikisha EAC, Africa au Dunia nzima zitakuwa zinafanyika hapo Arusha.Running track ya kazi gani kwa nchi haijui anything to do with athletics.
Mko na ushamba sana
Nimemskia yule ndumbaro akisema pembeni ya huu uwanja kutakua na museum ili kulifanya hilo eneo kuwa busy wakati wote hata baada ya michuano ya Afcon na mechi za mpira wa miguu. 👇 Probably ni hilo jengo linaonekana close to football pitch 👇Uwanja kama huu wenye running track kwa mkoa wa Arusha ni kitu kizuri sana. Umekaa kimkakati sana, hasa katika masuala ya utalii. Msishangae kuona international sports nyingi zinazoshirikisha EAC, Africa au Dunia nzima zitakuwa zinafanyika hapo Arusha.
Mnacheka uwanja una running track, wakat sisi tuna mikakati yetu