ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kitu huwez amini punda wa lamu wanakimbia Sana zaidi ya SGR Yao coz Naskia punda mpaka wamefungiwa speed governor mwisho ni 160km/hr but wanakimbia hio speed baada ya Kula hii kitu🤣🤣🤣🤣👇👇👇
Kitu huwez amini punda wa lamu wanakimbia Sana zaidi ya SGR Yao coz Naskia punda mpaka wamefungiwa speed governor mwisho ni 160km/hr but wanakimbia hio speed baada ya Kula hii kitu🤣🤣🤣🤣👇👇👇
Arusha rarely inatoa timu kushiriki ligi kuu so i get the point why ni 30k , na pia ina running tracks. Ndo actually wakimbiaji wengi hutokea mikoa ya pande za huko. So multipurpose inaelewekaUwanja kama huu wenye running track kwa mkoa wa Arusha ni kitu kizuri sana. Umekaa kimkakati sana, hasa katika masuala ya utalii. Msishangae kuona international sports nyingi zinazoshirikisha EAC, Africa au Dunia nzima zitakuwa zinafanyika hapo Arusha.
Mnacheka uwanja una running track, wakat sisi tuna mikakati yetu
You already have stadiums with running tracks, when are you going to have a football-specific stadium to give you the exciting football environment?Uwanja kama huu wenye running track kwa mkoa wa Arusha ni kitu kizuri sana. Umekaa kimkakati sana, hasa katika masuala ya utalii. Msishangae kuona international sports nyingi zinazoshirikisha EAC, Africa au Dunia nzima zitakuwa zinafanyika hapo Arusha.
Mnacheka uwanja una running track, wakat sisi tuna mikakati yetu
„Pundaboy“!
Hatukoseagi!Dah ila huu uwanja ni balaa, alie design hii kitu Big shout out kwake. Hii ni mwana ukome View attachment 2939145View attachment 2939146View attachment 2939147itawachukua miaka mingi mno hawa wanuka mavi kupata facility nzuri ka hii
Sometimes Ndumbaro anakurupuka sana. Anaingilia haki na uhuru wa mashabiki. Ndio maana FIFA hawataki serikali ziingilie mambo yo.Hii ajabu naona haki ya kuwa Shanika wa timu flani inaingiliwa! CAF lazma watolee neno hili!
While Dar is a slum port is struggling with congestion, Mombasa Port is winning. 😎
View: https://x.com/Kenya_Ports/status/1770013705587020277?s=20
Hii habari imekaa vibaya sana kwa NairobiWalker 😎😎Dah ila huu uwanja ni balaa, alie design hii kitu Big shout out kwake. Hii ni mwana ukome View attachment 2939145View attachment 2939146View attachment 2939147itawachukua miaka mingi mno hawa wanuka mavi kupata facility nzuri ka hii
Hiyo ya Dodoma hadi contract signing ilifanyika tu kama ya leo, tena mbele ya Makufool. Leo hii bado ni dream.nahurumia hii tz na pressure...lol.Ile ya dodoma ambayo king of morocco alijitolea kujenga ilifika wapi....tulionyeahwa renders 2017 sahii tuko 2024
Mwingine anasema "a stadium with a running track"
Argument zingine unaona utoto wa watoto humu. 😂😂😂
One of the ground with great football atmosphere in Africa is BM stadium which has running track. That's why inaugural AFL game was played there. What exciting atmosphere are you talking about? From what experience in Kenya football? Gor Mahia vs Afc Leopard?You already have stadiums with running tracks, when are you going to have a football-specific stadium to give you the exciting football environment?
Nashangaa jamaa wanakomaa na racing track as if inakatiza katikati ya uwanja.Uwanja ulio na running track hautumiki kuchezea mpira
Mume wa KANAIRO unaweza kuleta evidence ya contract signing ya uwanja wa mpira wa dodoma uliposainiwa? (not sport facilities kama recreation park).. au ni kawaida yako kuropokaHiyo ya Dodoma hadi contract signing ilifanyika tu kama ya leo, tena mbele ya Makufool. Leo hii bado ni dream.
Nimeona hizo bs zao. Kwahio wanataka delegation itoke Dar iende Arusha kusaini mkataba halafu warudi Dar? Hata kampuni itakayojengq HQ zake zitakuwa Dar.Leo nimeona maajabu.
Eti wakunya wanalalamika mbona mkataba wa Arusha umesainiwa Dar😄
Kwamba muache hii tabia ya kukana kila kituUlitaka kusema nini kuhusiana na hizo picha we jamaa.?