Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Piruuuukutoka Kwa mkali 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C4r_-b6qKtA/?igsh=bWdwanlpYWNzMmEx
1201263358.jpg
-1690389105.jpg
456875119.jpg
1210142728.jpg
2079466028.jpg
 
Kuna siku uliambiwa Tz hatupendi miti? BTW hio miti ipo tangu hio barabara nimeanza kuiona.
Huyo mwehu anafkiri miti ni misitu ndio akili yake hajui kuna miti ya kupensezesha mji na miti mapori SASA wao washazoea mapori 😁😁
 
Running track ya kazi gani kwa nchi haijui anything to do with athletics.
Mko na ushamba sana
Alafu yule chokoraa wa kuokota ATM slip anakasirika juu nimesema hiyo stadium Iko na running track which they don't know how to use😂😂😂
 
A stadium with a running track? Still way below Talanta Stadium which is a pure football stadium.

Again why should the ceremony happens in Dar is Slum when the stadium is suppose to be built in Arusha?
Wanasaini mikataba na KAZI hio mostly lazma ifanyike wizarani au ikulu tumia akili

Na wakishasaini maana yake KAZI inaanza rasmi 😆😆😆 mulijua hatutojenga au ??

Bado dodoma SASA iko njian na yenyewe kila kitu kilo tayar
 
Watu wameskia tu viongozi wanasaini makaratasi 😂😂😂 hali ya hewa imechafuka. Kitu nimejifunza kuhusu hawa wanuka mavi ni hiki "they want us to do good but never better than them" sijui walidhani hatutajenga huo uwanja? 😂😂 Tumezungukwa na adui na tunamsiliba haswaa
 
Watu wameskia tu viongozi wanasaini makaratasi 😂😂😂 hali ya hewa imechafuka. Kitu nimejifunza kuhusu hawa wanuka mavi ni hiki "they want us to do good but never better than them" sijui walidhani hatutajenga huo uwanja? 😂😂 Tumezungukwa na adui na tunamsiliba haswaa
Vibera wana wivu sijapata kuona.
Imagine mtu anaweka arguments za kipuuzi eti running track. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom