chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,122
Nani mtamleta huku Kijijini kufanya nini?The ongoing construction of Kisumu Convention Center
View attachment 2938531
View attachment 2938533View attachment 2938534
Nani mtamleta huku Kijijini kufanya nini?The ongoing construction of Kisumu Convention Center
View attachment 2938531
View attachment 2938533View attachment 2938534
Mushene ndio nini miss mukami?hahaha...funny
Hizo Daladala hapo sio Hiace kama za post niliyojibu. Hizo Toyota Coaster,Nissan civilian 26+ passengers zipo hadi leo kwenye baadhi ya route.Hara hizi ni za before brt.
View attachment 2938601View attachment 2938602View attachment 2938603
Excuses galore!
Kuna siku uliambiwa Tz hatupendi miti? BTW hio miti ipo tangu hio barabara nimeanza kuiona.Leo mumekua wafuasi wa miti!!!
Hehehehe...acha nicheke
Kila mara tukipost picha za Nairobi zikiwa na miti humu nyie husema Nairobi ni Pori Hadi mkaipea jina Naipori. Inakuwaje Sasa mnacelebrate miti? Ndio maana mimi husema ubishi wenu humu haukuwa hi objective.Kuna siku uliambiwa Tz hatupendi miti? BTW hio miti ipo tangu hio barabara nimeanza kuiona.
Kuna tofauti Kati ya miti na pori. Labda watu wanaona mapori badala ya miti.Kila mara tukipost picha za Nairobi zikiwa na miti humu nyie husema Nairobi ni Pori Hadi mkaipea jina Naipori. Inakuwaje Sasa mnacelebrate miti? Ndio maana mimi husema ubishi wenu humu haukuwa hi objective.
This is Spring Valley neighborhood in Nairobi. When I shared this video, they called it Naipori. Meanwhile if such an estate was in Tanzanian, they would celebrate it.Kuna tofauti Kati ya miti na pori. Labda watu wanaona mapori badala ya miti.
Kwani ni uongo Nairobi ipo na pori la fisi na wanyama wengine?Kila mara tukipost picha za Nairobi zikiwa na miti humu nyie husema Nairobi ni Pori Hadi mkaipea jina Naipori. Inakuwaje Sasa mnacelebrate miti? Ndio maana mimi husema ubishi wenu humu haukuwa hi objective.
This is Spring Valley neighborhood in Nairobi. When I shared this video, they called it Naipori. Meanwhile if such an estate was in Tanzanian, they would celebrate it.
View: https://www.youtube.com/watch?v=jFiaD3qtu38
It is a discussion.Don't take every comment seriously.