Alafu akarudishwa Tz kwa basi au sio, mana anga lilifungwa by that time, na alirudishwa kimya kimya c ndiyo, kwamba hakuna aliyejua wala aliyepata picha ya tukio mpaka media za kenya. Wakenya mnapenda sana kujipa umuhimu ambao hamna, yani Magufuli asipelekwe India au China au SA aletwe Kenya? Rais gn wa Tanzania ulisikia anapelekwa shit hole za Africa kutibiwa? Nipe mfano mmoja tu ni rais gn au hata vice president au spika wa Tz aje Kenya kutibiwa tusimguse Magufuli mana huyo chuki yake dhidi ya kenya ilikuwa wazi kabisa.Dunia nzima inajua Maghufuli alikufia Kenya. 😂 😂 S
Hii picha imenikumbusha asee niliwahi enda Chanika kikazi nikaelekezwa gari na picha hiyo, Huwezi amini nilikosa kabisa.Miles ahead of your overcrowded junk
View attachment 2933150
Hakuna uchafu kama huo Tanzania kwa sasa, picha za enzi ya mwinyi unajifariji nazo, I can post thousands of same pictures from Nairobi CBD, unabisha nianze? Usifosi tufanane, Dar es salaam ni jiji la pili kwa usafi EA baada ya Kigali utake usitake.Dar is a slum full of old cars and garbage. 😂 😂 😂
![]()
lol..two rag tag armies ..no difference.both ldc countriesOur beloved soldiers in DRC😍 wakiwa wanawafundisha wanajeshi wa DRC. wanaonekana wako very friendly to each otherView attachment 2933596View attachment 2933592View attachment 2933594View attachment 2933595
Our beloved soldiers in DRC😍 wakiwa wanawafundisha wanajeshi wa DRC. wanaonekana wako very friendly to each otherView attachment 2933596View attachment 2933592View attachment 2933594View attachment 2933595
Baada ya kupata official statement wakaachana na hekaya za kwenye chang'aa wote wakaunga juhudi na ndio ikawa official mpaka milele hata mlie 😁😁😁
View attachment 2933555View attachment 2933556
Hahaha Hawa nyumbu wana jaribu kila namna wawe part kwenye history ya magufuri lakini wapi ndo wanazidi kupigwa vya mbavu
🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇 Ke Nyani KDF = Kenya Drinking Forcek
lol..two rag tag armies ..no difference.both ldc countries
Enzi za Mwinyi kulikua na mark x na number plates za TD 👇 👇 😂 😂Hakuna uchafu kama huo Tanzania kwa sasa, picha za enzi ya mwinyi unajifariji nazo, I can post thousands of same pictures from Nairobi CBD, unabisha nianze? Usifosi tufanane, Dar es salaam ni jiji la pili kwa usafi EA baada ya Kigali utake usitake.
Hawa wazee wa picha 😂😂😂 wamekula Kichapo wamafukuzwa kwao.
Ww huoni kama ujenzi wa Barabara unaendelea au akili yako ina kinyesi😅😅Dar is a slum kuna hadi bumps za mchanga. 😂 😂 😂 👇
![]()
Ujenzi wa bumps za mchanga kwa barabara ya lami. 😂 😂 😂 Wabongolala hamna akili.Ww huoni kama ujenzi wa Barabara unaendelea au akili yako ina kinyesi😅😅